X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
Nakazia kuwa mwenye uwezo wa kuifungua hiyo simu ni huyo ndugu Yako pekee alie inunua...!Alinipatia ikiwa amefuta kila kitu chake....yaani kama ilivyotoka dukani na nimeitumia mwaka na miezi kadhaa,
Inamaana ata nikifikia maamuzi ya kuflash haitopona mkuu..?
Okay apo nmekupata mkuu......shukraniMwenye full documo huwa anajua hatua za kuchukua.
Siongelei incident ya kusahau lock ya simu, bali hii kasumba ya kuflash electronic gadgets as shortcut way ya kuhamisha umiliki.
Mzee, hiyo simu hakuna anayeweza kuflash hadi labda mmiliki halali akategue kule kwenye Apple Cloud alipoissjili hiyo device.
Apo kipengele mzee sio kila mtu anaujuzi na mambo ya simu...ata ukiniambia nikwambie kirefu tu cha hyo IOS npo empty kwakweli
Kwakweli sijui sijawahi kupekua ukoView attachment 2707801
Naamini yako ipo chini ya hapo
Nakazia kuwa mwenye uwezo wa kuifungua hiyo simu ni huyo ndugu Yako pekee alie inunua...!
Mzee iphone sio watu, utakuja kunipa mrejesho, nishapata tatizo kama lako nimeliwa pesa sana mpaka na mafundi wa Nairobi, mpaka leo nina ipad ipo locked tu na ni mpya!!! Iphone kwenye security hakuna shortcut utaibiwa tu nakuhakikishiaMwenye full documo huwa anajua hatua za kuchukua.
Siongelei incident ya kusahau lock ya simu, bali hii kasumba ya kuflash electronic gadgets as shortcut way ya kuhamisha umiliki.
Mzee, hiyo simu hakuna anayeweza kuflash hadi labda mmiliki halali akategue kule kwenye Apple Cloud alipoissjili hiyo device.
Raha ya iPhone ununue mpya...hata ikijifunga unauwezo wa kuifungua ila ulinunua ya mkononi...kuifungua ni ngumu sana labda ubahatike kununua ya mtanzania...🤣🤣🤣
Oya acheni izo, kama amesahau passcode akiweka kwenye iTune mzigo unapona.
Ila kama iCloud iyo simu siyo yako.
Ngoja nikuulizie nitakwambia bei yake au nitakupa namba zao. Ila kama unaweza kufika nenda k/koo mtaa wa Masasi kaulize kwa Emma Bonge wanakupeleka mkuu
Yaah kupoteza data zote ni lazimaMREJESHO
Msaada wa ku unlock iPhone, nimesahau passcode
Alinipatia ikiwa amefuta kila kitu chake....yaani kama ilivyotoka dukani na nimeitumia mwaka na miezi kadhaa, Inamaana ata nikifikia maamuzi ya kuflash haitopona mkuu..? Nakazia kuwa mwenye uwezo wa kuifungua hiyo simu ni huyo ndugu Yako pekee alie inunua...!www.jamiiforums.com
Nimefanikiwa unlock phone yangu kwa njia ya kuflsh ...Asanteni kwa ushauri wenu
Pia tusiongee mambo tusikuwa na elimu nayo......Elimu ni pana sana
Hasara:- Nimepoteza data zote
Wewe ndio ulikuwa ujui...ungempelekea ndugu Yako akufungulie usinge poteza pesa ... Wala mafaili Yako... wabongo Huwa mnaomba ushauri huku na nyie mnao ushauri mwingine kichwani...sijaona makosa yetu...Hadi uje utukosoe kuwa tusiongee mambo tusiokuwa na uelewa nayo...! Mimi nimeanza kuwa mtundu kuifungua simu zilizo shindikana Nina mwaka wa 15 sasa...simu nazifahamu in our...!MREJESHO
Msaada wa ku unlock iPhone, nimesahau passcode
Alinipatia ikiwa amefuta kila kitu chake....yaani kama ilivyotoka dukani na nimeitumia mwaka na miezi kadhaa, Inamaana ata nikifikia maamuzi ya kuflash haitopona mkuu..? Nakazia kuwa mwenye uwezo wa kuifungua hiyo simu ni huyo ndugu Yako pekee alie inunua...!www.jamiiforums.com
Nimefanikiwa unlock phone yangu kwa njia ya kuflsh ...Asanteni kwa ushauri wenu
Pia tusiongee mambo tusikuwa na elimu nayo......Elimu ni pana sana
Hasara:- Nimepoteza data zote
Sina mengi ya kuandika, msaada kwenye tuta hizi simu zengine basi tu
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako......japo ushauri wako ulikuwa wa mafumbo au hukutaka kufunguka zaida kwa ya maslahi binafsi...(Actually baadhi ya wabongo ndo tulivyo)Wewe ndio ulikuwa ujui...ungempelekea ndugu Yako akufungulie usinge poteza pesa ... Wala mafaili Yako... wabongo Huwa mnaomba ushauri huku na nyie mnao ushauri mwingine kichwani...sijaona makosa yetu...Hadi uje utukosoe kuwa tusiongee mambo tusiokuwa na uelewa nayo...! Mimi nimeanza kuwa mtundu kuifungua simu zilizo shindikana Nina mwaka wa 15 sasa...simu nazifahamu in our...!
Nakazia kuwa mwenye uwezo wa kuifungua hiyo simu ni huyo ndugu Yako pekee alie inunua...!
Naamini kuna kitu unajua... tupe maarifa na sisi,kwanini alienipa awe na access ya kufungua kati alifuta kila kitu?
Kuna mwengine huyu alisema njoo tuuze spare....Ahahahaabila Icloud password, njoo tuuze kama spare