Mkankule rahel
Member
- Mar 15, 2019
- 18
- 3
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna cha maana cha kucomment plz naomba usicomment sababu hujui ni insult gan tunazozipataSasa kaka kama umeacha kazi kienyeji unategemea nn?
By the way matusi tu uache kazi really.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuacha kazi bila taarifa mkuu labda kama ktk contract yako kuna kitu kilielezea suala hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni unprofessional yes, Ila as hukufika kazin kwa muda wa siku tano mfululizo Bila taarifa then mwajiri anatakiwa kukufuta kazi. Hayo ya kesi, Sidhani Kama Yana mashiko kisheria otherwise mkataba wako unampa mandate hiyoHabari,
Naomben msaada wa kisheria kutokana na tukio lililontokea nikiwa katika ajira.
Nimefanya kazi katika kampuni binafsi takriban mwaka na nusu lakini ilinilazimu kusitisha ajira yangu gafla kutokana na matusi kutoka kwa mwajiri ambayo yalizidi na kunipelekea kuandoka kazini bila taarifa,sikupanga kuacha kazi kwa namna hiyo ila it was too much and i couldnt handle the stress i decided to quit bila notice..
Naskia boss wangu anataka kufile case labour court nimlipe 3months salary kama notice despite hakunilipa mshahara wangu wa mwez na leave circle yangu ya huo mwaka ckwenda nadai pia..
Naomba mnisaidie kutokana na hiyo senario nifanyaje sababu ni uonevu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi sio mwanasiasa,if you cant advice better kukaa kimya,argue with relative factsLipumba alipoacha unyekiti aliaga?
Ni unprofessional yes, Ila as hukufika kazin kwa muda wa siku tano mfululizo Bila taarifa then mwajiri anatakiwa kukufuta kazi. Hayo ya kesi, Sidhani Kama Yana mashiko kisheria otherwise mkataba wako unampa mandate hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok my humble apology ,I didn't mean to offend I was merely establishing a precedent.Mi sio mwanasiasa,if you cant advice better kukaa kimya,argue with relative facts
Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu yako humu yanaonyesha why ur boss insulted you.
Hata ww unaaandika thread kwasababu una bundle yankufanya hvyo acha upuuz na ujuaji unasaidiwa humu ndan unataka kuleta majibu yako ya ajabu.
Huko kujiajiri ndo hataweza kabisa kwa majibu haya maana huko kauli nzuri ndo kila kitu, kama ye ameajiriwa na yupo hivi je ataweza kukaa na mfanyakazi wake,Uko mkorofi saana na ndo maana uligombana na bosi wako, ni bora ukajiajiri tuu ndugu maana hautakaa kwa bosi yoyote ukadumu. Nayaongea haya kwa kutazama tu unavyojibu michango ya wadau humu, tena una bahati maana bosi wako angeweza hata kukudai umlipe mshahara wa miezi 12.
Sent using Jamii Forums mobile app