Msaada wa kuacha kazi bila kutoa notice kutokana na kutukanwa na mwajiri

Msaada wa kuacha kazi bila kutoa notice kutokana na kutukanwa na mwajiri

pole sana kwa yaliyo kukuta,najua maumivu ya makazini yalivyo,nimewahipitia changamoto kama zako tena zako ni ndogo sana,mimi nilikua kwenye kampuni kubwa sana,nikakwaruzana na mwajiri baada ya mambo flani kwenda ndivyo sivyo,though mimi nili resign professionally,......ila nikupe hope,Labour court most of the time Employee ndio anakua awarded,na ni mara chache sana Employers kushinda,hii yote ni kwasababu ya sheria ya ajira ya hapa kwetu inambana sana mwajiri,...anakutisha tu kwenda Labor Court,hawezi kwenda,gharama ya kwenda Labor Court is bigy than what he will be awarded by the court (CMA),mimi najua hizo mambo maana nina jamaa zangu wameshinda kesi kule,na mimi baada ya kuanza kuzinguliwa na mwajiri(maana ali reject resignation yangu pending investigation anazozijua yeye),wakaniita hearing iliyoitishwa na Board ya kampuni nikamchukua wakili wangu nikaenda nae,mwajiri akaona am very serious, na nikamshinda mwajiri by fact....baada ya hapo akaridhia resignation yangu,lakini kabla ya hapo vitisho vilikua vingi sana and i was stressed,....note this "mwajiri ni rafiki yako pale tu upo nae kikazi,siku ukiwa na mpango wa kuondoka au ukaondoka anakua adui yako",so relax mzee hamna kesi hapo,jipange anza kutafuta fursa nyingine yakusonga mbele na career yako,....anza kutazama fursa zilizopo you will get the nice job more than you had before.... remember "life starts at the end of comfortability zone",jiamini unleash your potential,utasimama tena and you will win..... wishing you the best!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole sana kwa yaliyo kukuta,najua maumivu ya makazini yalivyo,nimewahipitia changamoto kama zako tena zako ni ndogo sana,mimi nilikua kwenye kampuni kubwa sana,nikakwaruzana na mwajiri baada ya mambo flani kwenda ndivyo sivyo,though mimi nili resign professionally,......ila nikupe hope,Labour court most of the time Employee ndio anakua awarded,na ni mara chache sana Employers kushinda,hii yote ni kwasababu ya sheria ya ajira ya hapa kwetu inambana sana mwajiri,...anakutisha tu kwenda Labor Court,hawezi kwenda,gharama ya kwenda Labor Court is bigy than what he will be awarded by the court (CMA),mimi najua hizo mambo maana nina jamaa zangu wameshinda kesi kule,na mimi baada ya kuanza kuzinguliwa na mwajiri(maana ali reject resignation yangu pending investigation anazozijua yeye),wakaniita hearing iliyoitishwa na Board ya kampuni nikamchukua wakili wangu nikaenda nae,mwajiri akaona am very serious, na nikamshinda mwajiri by fact....baada ya hapo akaridhia resignation yangu,lakini kabla ya hapo vitisho vilikua vingi sana and i was stressed,....note this "mwajiri ni rafiki yako pale tu upo nae kikazi,siku ukiwa na mpango wa kuondoka au ukaondoka anakua adui yako",so relax mzee hamna kesi hapo,jipange anza kutafuta fursa nyingine yakusonga mbele na career yako,....anza kutazama fursa zilizopo you will get the nice job more than you had before.... remember "life starts at the end of comfortability zone",jiamini unleash your potential,utasimama tena and you will win..... wishing you the best!

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana na ubarikiwe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana hujawa boss wangu hahhahaahaha pole afu ilo povu linalokutoka vepe kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Povu limenitoka kutokana na jinsi unavyowajibu watu humu ndani.Najua changamoto za kazi zipo nyingi sana.Ndo mana tupo hapa kukushauri kama ulivyoomba.Kwahiyo watu wanapokwambia kuwa ulikosea kuacha bila kutoa taarifa inabidi ukubali na uwaeleze kiundani ilikuwaje.Sasa wewe unakimbilia kushambulia watu.Haupo siriaz!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nshapata ushauri nnaoutaka kwa mtu anaejielewa kwenye comment ..hujui sheria na huna cha kishauri ndo mana unatokwa povu lisilo na staha
Povu limenitoka kutokana na jinsi unavyowajibu watu humu ndani.Najua changamoto za kazi zipo nyingi sana.Ndo mana tupo hapa kukushauri kama ulivyoomba.Kwahiyo watu wanapokwambia kuwa ulikosea kuacha bila kutoa taarifa inabidi ukubali na uwaeleze kiundani ilikuwaje.Sasa wewe unakimbilia kushambulia watu.Haupo siriaz!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu... “rahel”
u don’t have to be rude to make a point! its not their problem, its your problem that they are trying to be concerned about.. na wewe fasta unakimbilia defence.
kama apo unaongea kawaida, i can’t imagine kua mfanyakazi mwenzako au boss wako au ata wewe boss wangu kwa masaa 8 kila siku mwaka mzima..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
utakua na attitude ki-“nukta”


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kabla ya kutafuta kazi nyingine u really need to put ur shit together.. nahisi kwa kauli zako unafaa kua labda kazini machinjioni sehemu unakutana na ng’ombe tu na sio watu! wtf


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuacha kaz bila taarifa ni kosa kisheria mana utakuwa mtoro kazini kwanza hatujajua uko serikalin au sekta binafsi.

Mana kuna sheria za kazi.na sheria ndogo ndogo za kampuni au shirika husika.il kila kitu kiweze kwenda sawa.

Kwa serikali pia kila skta kuna sheria zake ambazo zinawaongoza watu ukiachana na sheria mama.

Kuacha kaz bila taarifa kutakufanya upoteze haki zako za msingi.

Pia katika kila sehemu za kaz kuna kamati za maadili na je ulipitia huko?

Na je kaz yako ni contract au permanent?

Na mwisho utaratibu mwema wa kuacha kaz nikuandika barua na kuweka sababu za kuacha na kuipeleka ofisi husika.Pia hurusiw kuacha kaz pasina majibu ya wahusika.

Alafu katika kaz matus ni jambo LA kawaida ila inategemea ni aina gani ya matusi japo huku ainisha aina gani ya matusi katika kuomba kwako ushauri.
 
Asante kwa muongozo
Kuacha kaz bila taarifa ni kosa kisheria mana utakuwa mtoro kazini kwanza hatujajua uko serikalin au sekta binafsi.

Mana kuna sheria za kazi.na sheria ndogo ndogo za kampuni au shirika husika.il kila kitu kiweze kwenda sawa.

Kwa serikali pia kila skta kuna sheria zake ambazo zinawaongoza watu ukiachana na sheria mama.

Kuacha kaz bila taarifa kutakufanya upoteze haki zako za msingi.

Pia katika kila sehemu za kaz kuna kamati za maadili na je ulipitia huko?

Na je kaz yako ni contract au permanent?

Na mwisho utaratibu mwema wa kuacha kaz nikuandika barua na kuweka sababu za kuacha na kuipeleka ofisi husika.Pia hurusiw kuacha kaz pasina majibu ya wahusika.

Alafu katika kaz matus ni jambo LA kawaida ila inategemea ni aina gani ya matusi japo huku ainisha aina gani ya matusi katika kuomba kwako ushauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ww kauli ulizotoa hapo upo machinjioni [emoji23][emoji23][emoji23]unakosoa mtu na bado na ww unafanya worse ya huyo unaemkosoa...jichunguze
kabla ya kutafuta kazi nyingine u really need to put ur shit together.. nahisi kwa kauli zako unafaa kua labda kazini machinjioni sehemu unakutana na ng’ombe tu na sio watu! wtf


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ww kauli ulizotoa hapo upo machinjioni [emoji23][emoji23][emoji23]unakosoa mtu na bado na ww unafanya worse ya huyo unaemkosoa...jichunguze

Sent using Jamii Forums mobile app

bila kukuelewesha kwa vitendo nahisi hutaelewa. maana naona ndo standard language yako iyo.
nashangaa umekimbia matusi wkt tayari una kauli za mkato.. uyo boss atakua si mchezo ana level zingine na matusi mapya nn, maana matusi haya ya kila siku .. ya sehemu za mwili au matukio naamini hayajakusumbua!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umemaliza?
bila kukuelewesha kwa vitendo nahisi hutaelewa. maana naona ndo standard language yako iyo.
nashangaa umekimbia matusi wkt tayari una kauli za mkato.. uyo boss atakua si mchezo ana level zingine na matusi mapya nn, maana matusi haya ya kila siku .. ya sehemu za mwili au matukio naamini hayajakusumbua!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom