Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Tafuta wataalamu wakusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Unajengea mkoa gani? Mjini au kijijini? Bei za materials ya ujenzi na mafundi zinatofautiana sana kulingana na sehemuHabari wakuu .
Nataka kuanza ujenzi ule wa mdogomdogo atleast by the end of the year niwe nimepaua na kuweka grill kwenye madirisha na milango ya nje.
Ramani ina ukubwa wa m 15 x m 14 na ni nyumba ya vyumba 4, vyumba 2 ni self contained na vikolombwezo vyake vyote.
Uwanja ni tambarare na nataka kujengea tofali za kuchoma na mawe kwa msingi.
Sasa nishaurini niwe na kiasi gani kukamilisha hatua nilizozitaja hapo juu, japo kiasi cha kuanzia kipo atleast ya kukamilisha msingi around 3mln.
Ramani ya nyumba kwenye picha inafanana kama hivi na floor plni yake iko hapo chini.
View attachment 1714028View attachment 1714029View attachment 1714030
Katavi1. Unajengea mkoa gani? Mjini au kijijini? Bei za materials ya ujenzi na mafundi zinatofautiana sana kulingana na sehemu
2.Unajenga nyumba ya kuishi mwenyewe, kuipangisha au vipi? Unaihitaji (need) hiyo nyumba kwa sasa au unaitaka (want) tu? Au kuuliza kivingine, kwa mini unataka kujenga?
3. Kuna umeme na maji karibu?
4. Utaweka msingi (foundation) wa zege tu au zege lenye nondo au hakuna msingi kabisa isipokuwa hayo mawe?
5. Baada ya ukuta wa mawe (plinth wall), utaweka jamvi la zege (slab)? Na je utaweka zege la nondo (ring beam) kuzunguka kuta zote kuu?
6. Sijaweza kufungua ramani yako. Je kuta zako zina upana gani? Tofali moja au mbili za kuchoma? Utatumia cement/mchanga au tope kujengea hizo tofali?
5. Madirisha yapo mangapi jumla? Na milango (ya nje na ndani)? Size zake?
6. Utaweka linta yenye nondo kuzunguka kuta zote? Au sehemu za milango na madirisha tu?
7. Utatumia mbao au miti kupaulia? Treated au ya kawaida tu?
8. Utatumia bati za aina gani? Utaweka 'fisha' na gutter?
NB:
1. Nimeuliza hayo maswali kuibua tafakari tu, sio lazima uyajibu/yajibiwe hapa. Ni baadhi ya variables tu za gharama za ujenzi? Yanaweza pia kuwafaa wasomaji wengine.
2.Ujenzi "wetu" kwa sehemu kubwa haufuati viwango vya ujenzi. Kwa hivyo, sio rahisi mtu baki kukadiria ghahama zako za ujenzi. Kwa mfano, kwa ujenzi unaofuata viwango vinavyokubalika, ni rahisi mtu kukwamba gharama ni Shs xxxxx kwa mita ya mraba.
3. Kama gharama (uwezo) ni issue kubwa sana kwako, fikiria kupata mtaalamu akusaidie.....hasa hapo kwenye design ya jengo lenyewe. This may sound weird! But wakati mwingine tunakwepa kulipa wataalamu shs 1m au hata 2m, lakini tunaingia kwenye hasara au gharama za kuepukika za mamilioni zaidi. Au unakuta jengo limeishia njiani, miaka na miaka.
Yani maelezo yenye paraghraph karibu 4 umejibu kwa kaneno kamoja kenye herufi 6. Kazi ipo.Katavi
25m ni ndogo kwa nyumba ya vyumba 4 kukamilika mpk tilesUnaweza kumeza karibu milioni 25 ikamilike kabisa mpaka tiles
Hizi mnajenga wenyewe?Waweza pitia hii list ya nyumba na gharama zake... zipo nyumba zaidi ya 250... zinazofaa Kujenga Tanzania
Itakupa mwangaza... pamoja na makadirio ya tofali na bati na ukubwa wa nyumbaView attachment 1724815
Hizi mnajenga wenyewe?Waweza pitia hii list ya nyumba na gharama zake... zipo nyumba zaidi ya 250... zinazofaa Kujenga Tanzania
Itakupa mwangaza... pamoja na makadirio ya tofali na bati na ukubwa wa nyumbaView attachment 1724815
Unaweza ukipanga vizuri update na fundi mzuri inatosha25m ni ndogo kwa nyumba ya vyumba 4 kukamilika mpk tiles
Mkuu huwezi kujenga vyumba 4 ukamaliza na hiyo 25m , hapo anza kuorodhesha tuu material ya ujenzi, nimejenga nyumba nyingi na nimekua kwenye hii field ya ujenzi kwa miaka 7 sasa,Unaweza ukipanga vizuri update na fundi mzuri inatosha
Inategemea na ukubwa wa kiwanja 13 m kwa 15 inatoshaMkuu huwezi kujenga vyumba 4 ukamaliza na hiyo 25m , hapo anza kuorodhesha tuu material ya ujenzi, nimejenga nyumba nyingi na nimekua kwenye hii field ya ujenzi kwa miaka 7 sasa,
Ukubwa wa kiwanja au ukubwa wa nyumba mkuu? Kiwanja si sehemu yote itajengwaInategemea na ukubwa wa kiwanja 13 m kwa 15 inatosha
Hapo mtu kashajiwekea gharama yake kichwani. Panga pangua hata mabati used anayapaka rangi.Ukubwa wa kiwanja au ukubwa wa nyumba mkuu? Kiwanja si sehemu yote itajengwa
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Fence unaweza weka hata mbaoUkubwa wa kiwanja au ukubwa wa nyumba mkuu? Kiwanja si sehemu yote itajengwa
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Sitishiki,tunatishana Sana ndugu zangu
Hujatishika sio? Ngoja tutatishana siku nyingine [emoji848][emoji848]Sitishiki,tunatishana Sana ndugu zangu