Msaada wa kukadiria gharama za ujenzi

Msaada wa kukadiria gharama za ujenzi

Habari wakuu .

Nataka kuanza ujenzi ule wa mdogomdogo atleast by the end of the year niwe nimepaua na kuweka grill kwenye madirisha na milango ya nje.

Ramani ina ukubwa wa m 15 x m 14 na ni nyumba ya vyumba 4, vyumba 2 ni self contained na vikolombwezo vyake vyote.

Uwanja ni tambarare na nataka kujengea tofali za kuchoma na mawe kwa msingi.

Sasa nishaurini niwe na kiasi gani kukamilisha hatua nilizozitaja hapo juu, japo kiasi cha kuanzia kipo atleast ya kukamilisha msingi around 3mln.

Ramani ya nyumba kwenye picha inafanana kama hivi na floor plni yake iko hapo chini.
View attachment 1714028View attachment 1714029View attachment 1714030
Kaka kwanza mshukuru Mungu kwa hatua kubwa.
Pili hongera kwa maandalizi makubwa.

Kwa habari ya kazi za
Kusoma ramani ,kujenga, kufanya finishing za nyumba, mifumo ya maji taka na safi ,umeme na urembo ,Basi, uvimo tumebobea katka hili. Tunao wataalam.

Ili kupata makadirio ya ramani yako uliyo toa hapo juu

Wasiliana nasi kwa
0629361896
0753927572 -Wasap
0713665510
 
Hiyo ni nyumba yako binafsi unataka kujenga mkuu? Nimeicheck chap chap naona ina changamoto za kimpangilio. Kwa mfano kuna corridors nyingi sana na nyembamba mno. Zitakuwa giza na ngumu kutumia (corridor za 90cm ni minimum kabisa). Vyumba vya kulala vidogo Kama bado hujaanza kujenga nakushauri urekebishe design. Pia angalia vyoo vilivyowekwa. Vyembamba na virefu bila, utatumia tiles nyingi kuliko unavyohitaji. Nahisi wazo la choo na bafu ni kuwa na washbasin kwa nje kwenye hizo vestibule za bafuni...hayo ni mambo ya zamani na hiyo basin itakuwa gizani (taa itakuwa inawashwa 24/7 na hewa itakuwa nzito). Ningeshauri uweke washbasins ndani ya vyumba husika. Dining Room ya 2.2m ni changamoto kuweka meza na viti pande zote mbili, watu wakae na kuvuta viti na wapishane (mtu kuweza kupita nyuma ya aliyekaa).
Ndio tatizo la kuforce nyumba ya ukubwa wa 14x15 kuwa na vyumba vinne. Apunguze, vibaki vitatu au aongeze ukubwa wa nyumba.
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8000
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13000
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Back
Top Bottom