Msaada wa kumpata mheshimiwa mbunge vick kamatha

Msaada wa kumpata mheshimiwa mbunge vick kamatha

Nenda home kwake sinza vatcani, brocklin street kuna ikulu ndogo pale bangaloo jeupeee, utampata bila chenga.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Naomba msaada wa kumpata kiurahis zaid mheshimiwa mbunge wa viti maalum kupitia ccm vick kamata kama kuna mtu anapajua kwake au nyumban kwake naomba anambia, kama utakuwa na namba yake nitumie pm naomben sana jaman muweze kunisaidia kuhusu hilo

Au hata kama wewe mama yangu mheshimiwa utapata ujumbe huu naomba nitafute au nifate pm nakuomba sana

LONDON BABY
Mkuu vp ulifanikiwa?
 
Kwasababu kama unataka kukutana na mtu mwenye nafasi ya Kamatha kuna njia flani za kufuata mpaka unakutana nae. Sio watu wakuelekeze anapoishi tu, unataka kufanya nini, kwenda kubisha hodi? Huo si uchizi!
hahaaa
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Naomba msaada wa kumpata kiurahis zaid mheshimiwa mbunge wa viti maalum kupitia ccm vick kamata kama kuna mtu anapajua kwake au nyumban kwake naomba anambia, kama utakuwa na namba yake nitumie pm naomben sana jaman muweze kunisaidia kuhusu hilo

Au hata kama wewe mama yangu mheshimiwa utapata ujumbe huu naomba nitafute au nifate pm nakuomba sana

LONDON BABY


Nenda kamtongoze bungeni, nafikiri ndiyo itakuwa rahisi mno.
 
Back
Top Bottom