Msaada wa kupata dawa hii iliyogundulika ya kutibu cancer

Msaada wa kupata dawa hii iliyogundulika ya kutibu cancer

SHIGOTTO

Senior Member
Joined
Sep 4, 2018
Posts
156
Reaction score
282
Ndugu wapendwa nawasalim!!!!!
Tumepata tatizo kwenye familia kaka yetu amegundulika na ugonjwa wa cancer, amekuwa ana patwa na maumivu makali na kukata tamaa ya kuishi. Jana nimeona kwenye vyombo vya habari AZAM TV na magazetini wameripoti kuna dawa imegunduliwa huko Marekani ambayo imetibu wagonjwa wote waliopatiwa na kuwaponya.
Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujuwa jinsi ya kuipata hii dawa ili tumpatie jamaa yetu aweze kuepuka kifo kinachotokana na gonjwa hili. Msaada tafadhali
 
Ndugu wapendwa nawasalim!!!!!
Tumepata tatizo kwenye familia kaka yetu amegundulika na ugonjwa wa cancer, amekuwa ana patwa na maumivu makali na kukata tamaa ya kuishi. Jana nimeona kwenye vyombo vya habari AZAM TV na magazetini wameripoti kuna dawa imegunduliwa huko Marekani ambayo imetibu wagonjwa wote waliopatiwa na kuwaponya.
Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujuwa jinsi ya kuipata hii dawa ili tumpatie jamaa yetu aweze kuepuka kifo kinachotokana na gonjwa hili. Msaada tafadhali
Kifo hakiepukiki kiongoz, siku yako iliopangwa Ikiwadia unaondoka tu,cha msingi tafuta dawa na kumuomba mungu upone lkn sio aepuke kifo, hakuna dawa ya kukuepusha na kifo.
 
Ndugu wapendwa nawasalim!!!!!
Tumepata tatizo kwenye familia kaka yetu amegundulika na ugonjwa wa cancer, amekuwa ana patwa na maumivu makali na kukata tamaa ya kuishi. Jana nimeona kwenye vyombo vya habari AZAM TV na magazetini wameripoti kuna dawa imegunduliwa huko Marekani ambayo imetibu wagonjwa wote waliopatiwa na kuwaponya.
Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujuwa jinsi ya kuipata hii dawa ili tumpatie jamaa yetu aweze kuepuka kifo kinachotokana na gonjwa hili. Msaada tafadhali
Pole sana ndugu ,ingekua vizuri ungetembelea hospital za cancer kama ocean road ni rahisi wao kua na hizi taarifa na access ya kupata hizo dawa unazoziongelea
 
Kifo hakiepukiki kiongoz, siku yako iliopangwa Ikiwadia unaondoka tu,cha msingi tafuta dawa na kumuomba mungu upone lkn sio aepuke kifo, hakuna dawa ya kukuepusha na kifo.

Kama hukuwa na jibu ni bora ungekaa kimya. Fikiria wewe au ndugu yako apewe ushauri kama huu, siyo sawa. Tunajua kifo kipo na kila mtu atakufa, kama nia ingekuwa ni kuepuka kifo basi Mungu asingetupa ufahamu wa dawa, haina tofauti na kujiua. Na wewe ukiumwa usinywe dswa, funga, sali muombe Mungu akuponye..
 
Mkuu nadhani iko kwenye majaribio sidhani kama imeshaanza kupatikana kwenye maduka ya dawa ama hospitalini,, mpeni hopes asikate tamaa soon labda zitakuwepo na yeye atapona....
 
hiyo saratani hipo staji gani !.

saratani inatibika kama ukiwahi ila watu wengi tabia za kupima mwili magonjwa haya sio rahisi sana.

tuwe tunapenda kila baada ya miezi kupima kama tuna viashiria vya saratani ili kuzibit
 
Hiyo dawa, Dostarlimab. bado haijapitishwa kutumika binadamu, na haitakuwa kesho wala kesho kutwa. Wamejaribiwa watu 18 tu waliokuwa na saratani ya mkundu, rectal cancer, ambayo haijasambaa, metastatic. Majaribio yataendelea ili hayo matokeo hayo yaweze kuthibitishwa kwa watu wengi zaidi na muda mrefu.

Mpaka ije ifike kwetu Afrika ni inaweza kuwa kitambo cha miaka. Kwa sasa dozi moja imegharimu $11, 000, yani shilingi miilioni 25. Ni matibabu ya dozi nane katika kipindi cha miezi sita, au jumla ya shilingi milioni 200 kwa kila prescription.
 
Ndugu wapendwa nawasalim!!!!!
Tumepata tatizo kwenye familia kaka yetu amegundulika na ugonjwa wa cancer, amekuwa ana patwa na maumivu makali na kukata tamaa ya kuishi. Jana nimeona kwenye vyombo vya habari AZAM TV na magazetini wameripoti kuna dawa imegunduliwa huko Marekani ambayo imetibu wagonjwa wote waliopatiwa na kuwaponya.
Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujuwa jinsi ya kuipata hii dawa ili tumpatie jamaa yetu aweze kuepuka kifo kinachotokana na gonjwa hili. Msaada tafadhali
Poleni mkuu, meanwhile wakati mnatafuta hiyo tiba iliyogundulika mnaweza mkatumia tiba ya asili.
Majani ya mstafeli ni tiba ya hilo tatizo. Mnachukua majani ya kutosha mnayasaga pamoja na maji kiasi baada ya hapo mnaongeza maji kidogo. Anatumia kutwa mara tatu (wakati tumbo likiwa na njaa) then baada ya nusu anaweza akala chochote.

Atatumia kwa miezi mitatu bila kuacha.
 
hiyo saratani hipo staji gani !.

saratani inatibika kama ukiwahi ila watu wengi tabia za kupima mwili magonjwa haya sio rahisi sana.

tuwe tunapenda kila baada ya miezi kupima kama tuna viashiria vya saratani ili kuzibit
tumeambiwa ya kwake ipo stage four!
 
tumeambiwa ya kwake ipo stage four!
Poleni sana, haya matatizo inabidi kuyawahi mapema.
Kuna post nimeiweka hapo juu, hiyo ni tiba kweli na sio masikhara na itampa nguvu kwa ujumla. Kwa hatua iliyofika sio nzuri ila jaribuni kufanya hilo.
 
Poleni sana ndugu, nikutie moyo dawa za Cancer zipo na watu hua wanapona. Jaribu kuulizia kwa mzee mmoja anaitwa Kokoto yupo wilaya ya Mwanga Kilimanjaro. Lkn pia kuna mama mmoja yupo Arusha nae hutoa dawa za Cancer na ameponesha wengi. Msikubali apigwe chemo wala kufanyiwa operation, hapo ndo mtakua mmemmaliza.
 
Kama hukuwa na jibu ni bora ungekaa kimya. Fikiria wewe au ndugu yako apewe ushauri kama huu, siyo sawa. Tunajua kifo kipo na kila mtu atakufa, kama nia ingekuwa ni kuepuka kifo basi Mungu asingetupa ufahamu wa dawa, haina tofauti na kujiua. Na wewe ukiumwa usinywe dswa, funga, sali muombe Mungu akuponye..
Ungesoma vzuri hoja ya mlta mada, mwisho wa maelzo yake amesema kabisa kuwa "apewe dawa aepuke kifo" hapo ikawa msingi wa mchango wangu,any way ikiwa mleta mada atakwazika "naomba radhi " Na nimpe pole Allah atampa shifaa.
 
Poleni sana, haya matatizo inabidi kuyawahi mapema.
Kuna post nimeiweka hapo juu, hiyo ni tiba kweli na sio masikhara na itampa nguvu kwa ujumla. Kwa hatua iliyofika sio nzuri ila jaribuni kufanya hilo.
tunashukuru sana kwa mchango wako tutatumia na tunategemea ndugu yetu atapona kwa uwezo wa allah
 
Ungesoma vzuri hoja ya mlta mada, mwisho wa maelzo yake amesema kabisa kuwa "apewe dawa aepuke kifo" hapo ikawa msingi wa mchango wangu,any way ikiwa mleta mada atakwazika "naomba radhi " Na nimpe pole Allah atampa shifaa.


Nimeisoma sana. Kifo kinatisha, kila kiumbe kinaogopa kifo, hospitalini tunaenda ili kujaribu kukiepuka kifo. Sababu tumeumbwa tufe, huwezi acha kutumia dawa ili ufe. Hujawahi enda hospitali? Mtoa maada amesema ndugu yake anaishi na maumivu makali, hivyo anatafuta dawa ili apunguze pia maumivu
 
Ndugu wapendwa nawasalim!!!!!
Tumepata tatizo kwenye familia kaka yetu amegundulika na ugonjwa wa cancer, amekuwa ana patwa na maumivu makali na kukata tamaa ya kuishi. Jana nimeona kwenye vyombo vya habari AZAM TV na magazetini wameripoti kuna dawa imegunduliwa huko Marekani ambayo imetibu wagonjwa wote waliopatiwa na kuwaponya.
Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujuwa jinsi ya kuipata hii dawa ili tumpatie jamaa yetu aweze kuepuka kifo kinachotokana na gonjwa hili. Msaada tafadhali
Mkuu pole sana kwa kaka yenu kw amaradhi yake ya Cancer .huwezi kuipata hiyo toka amerika ila ukitaka tiba ya kumtibu kaka yako nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibu maradhi yake .
 
Ndugu wapendwa nawasalim!!!!!
Tumepata tatizo kwenye familia kaka yetu amegundulika na ugonjwa wa cancer, amekuwa ana patwa na maumivu makali na kukata tamaa ya kuishi. Jana nimeona kwenye vyombo vya habari AZAM TV na magazetini wameripoti kuna dawa imegunduliwa huko Marekani ambayo imetibu wagonjwa wote waliopatiwa na kuwaponya.
Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujuwa jinsi ya kuipata hii dawa ili tumpatie jamaa yetu aweze kuepuka kifo kinachotokana na gonjwa hili. Msaada tafadhali
Waone longlife T LTD wanaweza kukusaidia. Au ingia hapa ukifunze mengi kuhusiana na hio dawa.


Pia piga 0719794789
 
Back
Top Bottom