Is very possible kwa kuwa tunatoa mkopo kuanzia 150Mn hadi 3Bn (SBL) kimsingi we lete mchanganuo wako tuone tutafanyaje, uwe unataka kununua ndege, train na reli zake, mabasi, kujenga hotel kimsingi kama una vigezo hivi basi njoo tuzungumze, a) uwe umeshaanza kufanya biashara jampo kuanzia miaka miwili na kuendelea, biashara yako iwe na akaunti popote, andaa barua ya maombi, Mchanganua wa biashara tokea mwnzo na unapoendelea, ukaguzi wa mahesabu wabiashara yako wa miaka mitatu, nyalaka za halali za biashara yako kama leseni, TIN nk, kopi ya hati ya dhamana yako.
Kimsingi Watanzania wengi hawana desturi ya kufanya ukaguzi wa mahesabu wa biashara zao kwa hyo unaweza kuziandaa tu sasa hivi, harafu nipigie tukutane tuone tunaanzia wapi (0713 988785)
Hii ni kwa mfanya biashara yeyote atakayesoma hapa kama nataka mkopo mkubwa basi anipigie tuongee, tafadhali ukipiga refaa kwa Jamii Forum ili tuelewane vyema.