Hivi kwenu wangapo wana degree?wangapi kwenu wamewahi kusomea ud maake ur so extravagant so excited au we ndo wa kwanza kwenda chuo kwenu sio msomi ila wa kwanza?Hivi unajua kuna proffessors ambao walianzia certificate na diploma.na ungepata bahati ya kusoma Havard au Cambridge ingetukana taifa zima ninavyokuona.afu kuwa na adabu hii sio fb
Maskini akipata ------ uliambwata wakati nafanya field kama HR kuna mother 1 alianza kusoma cert tena ya ualimu ila sasa hv ana masters ya busness administration mwaka ujao anasoma PHD pale Mzumbe