Simpleboylife
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 634
- 1,247
Wakuu! Natumaini mu wazima
Nina shida na kwaito kutoka South Africa "Zilizotamba bongo" kwenye sherehe na tafrija mbalimbali tangu miaka ya 2014! Kwa bahati mbaya sijui majina ya nyimbo wala wasanii.
Nimepita kwa baadhi ya Djs huku Nanjilinji lakini sijazipata
Nimefanikiwa kupata ngoma moja tu "Ndifuna wena"
Naomba nisaidiwe majina ya hizo Kwaito/artist ili niweze kuzipakua
Kumbuka: Zilizosumbua Bongo hivi karibuni
Nina shida na kwaito kutoka South Africa "Zilizotamba bongo" kwenye sherehe na tafrija mbalimbali tangu miaka ya 2014! Kwa bahati mbaya sijui majina ya nyimbo wala wasanii.
Nimepita kwa baadhi ya Djs huku Nanjilinji lakini sijazipata
Nimefanikiwa kupata ngoma moja tu "Ndifuna wena"
Naomba nisaidiwe majina ya hizo Kwaito/artist ili niweze kuzipakua
Kumbuka: Zilizosumbua Bongo hivi karibuni