Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
hivi mzee umeshtuka kwamba kuna kuna discovery td5 Zina mabody makubwa kuliko nyingine?sijui zitakuwa model gani zile?Ingawa hujataja model ya LR D2 TD5 kuhusu spare zinapatikana kwa wingi Dar es salaam ila kama ujuavyo hakuna feki n OG bei imechangamka kidogo ila kwa sasa dunia n Kijiji unaagiza kwa bei nafuu tu hasa ukiwa na shop and ship account itakurahisishia...
zilikuwa mpya? vipi kuhusu za cruiser V8?Aisee kuna jamaa alikuwa nazo maeneo ya Buguruni, n direct from UK na bei ilikuwa 4.2m. Nikikumbuka Jina au namba yake nakutumia. Temeke utapata za Shinyanga
hivi mzee umeshtuka kwamba kuna kuna discovery td5 Zina mabody makubwa kuliko nyingine?sijui zitakuwa model gani zile?
vipi mziki wa engine ya td5 kidogo tu haiwaki kuzima zima kawaida yakeTD5 ziko version kama mbili hivi zinatofautina kwenye umbile. Na hata engine kuna hiyo ya 2 diesel,V8 ya petroleum na mengineyo.
Uko sahihi kabisa
Kwa engine za Discovery nakushauri nenda tu CMC pale karibia na soko la kilombero....ukiipeleka garage uchwara utaharibu hiyo engine...wapendwa kwa Arusha ni wapi kunamafundi wazuri wa hiz gari land rover discovery td5
vipi mziki wa engine ya td5 kidogo tu haiwaki kuzima zima kawaida yake
Kwa engine za Discovery nakushauri nenda tu CMC pale karibia na soko la kilombero....ukiipeleka garage uchwara utaharibu hiyo engine...
Kwa engine za Discovery nakushauri nenda tu CMC pale karibia na soko la kilombero....ukiipeleka garage uchwara utaharibu hiyo engine...
naomba uni PM namba yake nduguKama yuko Dar, nenda kwa kaka Olomi. Yuko pale Temeke, n Mtaalam wa hizi gari
mzee gari yako ni td5naomba uni
naomba uni PM namba yake ndugu
naomba uni
naomba uni PM namba yake ndugu
asante sana kaka jamaaa yupo vizuri na anaijua land roverMtafute huyu 0717281210........ wengi humuita Dr wa Landrover, yuko hapo maeneo ya Kisutu. Na ndie fundi wangu wa Landrover kwa issue za mechanical na hata umeme anaekijana wake. Atakufanyia kaz nzuri na huwa anapenda kutoa ushauri kwanza
asante sana kaka jamaaa yupo vizuri na anaijua land rover
discovery yako ni td5?Huyo ndie Landrover Dr. Alinijulisha pia kama ulimpigia ingawa hukumtajia jina. Hapa natumia majina yangu halisi kaka.
Karibu kwenye familia ya LR!
nimekaribia naomba mnipokee wana LRHuyo ndie Landrover Dr. Alinijulisha pia kama ulimpigia ingawa hukumtajia jina. Hapa natumia majina yangu halisi kaka.
Karibu kwenye familia ya LR!
discovery yako ni td5?
nimekaribia naomba mnipokee wana LR