Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

Ushapata lifti? Mi ndo napita kahama apa alafu chumainakesha mpaka kwao! Hujaweka mawasiliano yoyote, ukiwa serious useme wapo majembe nimewaacha masumbwe apo, lakini si private ni maroli. Sina uhakika kama watakesha kama mm au watalala njiani tofauti na hapo, tumia njia hii.

Nenda sehemu yoyote wanakosimama Trafki waeleze shida yako, ukiwa ushajiandaa na Safari, hitokosa gari. Ningekusaidia ila chuma inakibari siwezi kukusubiria, fanya hivyo nilivyokuelekeza utapata usafiri ki rahisi zaidi endapo utaomba hao wana usalama wakusaidie.
Shukrani
 
Ushapata lifti? Mi ndo napita kahama apa alafu chumainakesha mpaka kwao! Hujaweka mawasiliano yoyote, ukiwa serious useme wapo majembe nimewaacha masumbwe apo, lakini si private ni maroli. Sina uhakika kama watakesha kama mm au watalala njiani tofauti na hapo, tumia njia hii.

Nenda sehemu yoyote wanakosimama Trafki waeleze shida yako, ukiwa ushajiandaa na Safari, hitokosa gari. Ningekusaidia ila chuma inakibari siwezi kukusubiria, fanya hivyo nilivyokuelekeza utapata usafiri ki rahisi zaidi endapo utaomba hao wana usalama wakusaidie.
Nakupm kaka
 
Ushapata lifti? Mi ndo napita kahama apa alafu chumainakesha mpaka kwao! Hujaweka mawasiliano yoyote, ukiwa serious useme wapo majembe nimewaacha masumbwe apo, lakini si private ni maroli. Sina uhakika kama watakesha kama mm au watalala njiani tofauti na hapo, tumia njia hii.

Nenda sehemu yoyote wanakosimama Trafki waeleze shida yako, ukiwa ushajiandaa na Safari, hitokosa gari. Ningekusaidia ila chuma inakibari siwezi kukusubiria, fanya hivyo nilivyokuelekeza utapata usafiri ki rahisi zaidi endapo utaomba hao wana usalama wakusaidie.
Pm yako haifunguki
 
Weka namba wadau walioguswa watakuchangia nauli ili usafiri katika hali salama.

Nenda dhehebu unaloabudu uonane na Kiongozi atajua namna ya kukusaidia

Fuata ushauri wa jamaa fulani aliyesema uende wanaposimama traffic ukiwa umejiandaa na Safar hutakosa msaada.

Nenda serikali ya mtaa ( ulizia ilipo) watakupa barua ya kutambua Shida yako , hiyo barua iwe na muhuri na namba ya simu ya Kiongozi then uiattach hapa tutakuchangia.

Chagua hapo Jambo mojawapo ufanye.
Ahsante Sana kwa ushauri ndugu

Nitafanya hivyo pia
 
Au omba lifti hadi Arusha ukifika hapa tunaondoka wote kwenda DAR.
Ndo nahangaika lifti ndugu sijapata bado ya kwenda popote

Lifti nyingi Zina mashart magumu Sana najua ningekuwa aina ya wadda Fulani ningeshapata muda mrefu
 
Back
Top Bottom