kiazikitam
Member
- May 18, 2021
- 58
- 24
- Thread starter
- #61
Ahsante mm Ni mgeni kabisa huku hata hapo sikua napajua ngoja nifanye mchakatoPole Binti, wakati unasubiri msaada, nenda pale Phantom petrol station huwa yanapaki malori ya mizigo, hapo ndipo huwa yanaondokea, omba wale madreva unaweza kumpata msamaria akakusaidia ukarudi nyumbani.