Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

Pole Binti, wakati unasubiri msaada, nenda pale Phantom petrol station huwa yanapaki malori ya mizigo, hapo ndipo huwa yanaondokea, omba wale madreva unaweza kumpata msamaria akakusaidia ukarudi nyumbani.
Ahsante mm Ni mgeni kabisa huku hata hapo sikua napajua ngoja nifanye mchakato
 
Weka namba wadau walioguswa watakuchangia nauli ili usafiri katika hali salama.

Nenda dhehebu unaloabudu uonane na Kiongozi atajua namna ya kukusaidia

Fuata ushauri wa jamaa fulani aliyesema uende wanaposimama traffic ukiwa umejiandaa na Safar hutakosa msaada.

Nenda serikali ya mtaa ( ulizia ilipo) watakupa barua ya kutambua Shida yako , hiyo barua iwe na muhuri na namba ya simu ya Kiongozi then uiattach hapa tutakuchangia.

Chagua hapo Jambo mojawapo ufanye.
Binafsi nitamtumia
 
Kama hujasafir njoo sheli ya Olympic ipo karibu na phantom hii nayo ni sehem ya majitoleo
 
Wanaume wengi wameingia kwenye matatizo ya kimaisha baada ya kuwashobokea mabinti.
Ushauri: Ni vyema tuwaache hawa wanawake wasaidiane wenyewe.
Saidia kwaajili ya Allah,jiulize wewe umemkosea mangapi kwa Allah lakini bado unapiga magoti unamuomba[emoji2969]
 
Back
Top Bottom