kiazikitam
Member
- May 18, 2021
- 58
- 24
- Thread starter
-
- #61
Ahsante mm Ni mgeni kabisa huku hata hapo sikua napajua ngoja nifanye mchakatoPole Binti, wakati unasubiri msaada, nenda pale Phantom petrol station huwa yanapaki malori ya mizigo, hapo ndipo huwa yanaondokea, omba wale madreva unaweza kumpata msamaria akakusaidia ukarudi nyumbani.
AhsanteDandia malori, au uzungumze na matrafic wa pale Kahama stand, ni rahisi kukupost kwenye mabasi hata kama utakalia ndoo bora kufika
Nakupm ndugu Sasa hiviunaweza fika tinde ,ndo natoka shinyanga mjini hapa naelekea mtwara .jitahdi uwahi moja kasoro nitakua hapo
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
NakupmKuna mtu anakutaarifu kwamba yuko njiani, anaelekea Dar, yuko shinyanga sasa hivi, weka namba ya simu tungekupigia
nimesema nimkute tindeDaah, pole sana dada yangu
For sure I feel your pain
Ishawahi kunitokea
Binafsi nitamtumiaWeka namba wadau walioguswa watakuchangia nauli ili usafiri katika hali salama.
Nenda dhehebu unaloabudu uonane na Kiongozi atajua namna ya kukusaidia
Fuata ushauri wa jamaa fulani aliyesema uende wanaposimama traffic ukiwa umejiandaa na Safar hutakosa msaada.
Nenda serikali ya mtaa ( ulizia ilipo) watakupa barua ya kutambua Shida yako , hiyo barua iwe na muhuri na namba ya simu ya Kiongozi then uiattach hapa tutakuchangia.
Chagua hapo Jambo mojawapo ufanye.
Ubarikiwe mkuunimesema nimkute tinde
Kikubwa asizingue JF siamini kama itatumika kuangamiza maisha yangu ,nitam-beba niko pekeangu pekee
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Naomba namba yako nikutumie pesa walau 20K
Pole dada weka namba kama alivosema kada mwenzetu wa chadema Mana ma ccm hayana huruma yasije yakakuibia bule
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Sawa KIAZKITAM..gusa unase[emoji848]
hakuna chuki huo ndio ukweRiMmh hizi n chuk jman khaa
mkuu nakuweka mikonon mwa Mungu mfikishe townnimesema nimkute tinde
Kikubwa asizingue JF siamini kama itatumika kuangamiza maisha yangu ,nitam-beba niko pekeangu pekee
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Bado kwa nn unauliza,wewe ndo mhusika kwa ID tofauti?Umeshamtumia?
Saidia kwaajili ya Allah,jiulize wewe umemkosea mangapi kwa Allah lakini bado unapiga magoti unamuomba[emoji2969]Wanaume wengi wameingia kwenye matatizo ya kimaisha baada ya kuwashobokea mabinti.
Ushauri: Ni vyema tuwaache hawa wanawake wasaidiane wenyewe.
toka 1:00 nimefika namsubiria apige cm yukokimya hapigi ,ninadakika 8 tu namsubiri nasepa 1:40 naliwashamkuu nakuweka mikonon mwa Mungu mfikishe town
na utupe mrejesho
hana shida huyotoka 1:00 nimefika namsubiria apige cm yukokimya hapigi ,ninadakika 8 tu namsubiri nasepa 1:40 naliwasha
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app