Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Kuna jamaa alinunua hayo mafuta akaambiwa kua akijipaka nywele zitaota tena (ana kipara). Shida inakuja yana harufu mbaya hatari... huwez jipaka ukajimix na raiaMafuta ya nyonyo.....
Mh binamuBaada ya muda harufu inatoka, haikai muda mrefu
Hayo mafuta hayazoeleki binamu.Kisha atazoea
ko mazuri ni yapi?Hayo mafuta hayazoeleki binamu.
Yanakera mno..Mimi huwa nashindwa kuvumilia kukaa na mtu aliyeyapaka.
Apake olive oil..
olive oil nywele zinawaka sawa laki zinakuwa kavu ukitebea kwenye juaApake olive oil..
Akitaka nywele ziwe nyeusi atumie Afro-american (Kama sijakosea) Ila ya achafua nguo mno.
Kuna Olive oil aina 2 nadhani,wewe unatumia ipi?olive oil nywele zinawaka sawa laki zinakuwa kavu ukitebea kwenye jua
Ni Bora apake parachute tu kuliko hayo.Basi paka ya nazi tu....
NdiyoNi ya nazi lakini
tumia vasmol utanshkru badaeNywele zangu ni ngumu na zinavozid kukua zinakuwa brown in colour.
Kama kuna anaejua mafuta mazuri ya kuzifanya ziwe rahisi hata kuchanika anitajie (lain na kuretain colour)
tumia vasmol utanshkru badaeNywele zangu ni ngumu na zinavozid kukua zinakuwa brown in colour.
Kama kuna anaejua mafuta mazuri ya kuzifanya ziwe rahisi hata kuchanika anitajie (lain na kuretain colour)
Nielekeze bei yake uliyanunua/yanauzwa wapi. Nipo Ubungo. Jinsia mwanaumeMkuu mi nilikuwa na nywele kipilipili ila baada ya kuanza kutumia BLUE MAGIC ORIGINAL Indian hemp mambo ni mswano kabisa
Mkuu mwenyewe hapa mwanaume yanuzwa kati ya 6000 na 7500 haizidi hapo mkuuNielekeze bei yake uliyanunua/yanauzwa wapi. Nipo Ubungo. Jinsia mwanaume