Ogopa madaktari wa jfMmekuja kuifanya azuma kuwa dawa ya STDs wakati ni antibiotic nzuri kwa pneumonia
Kama ni kweli hiki ulisemalo usiende tena hiyo hospital hakuna Dr hapo Bali mganga wa kienyeji labda kama unatudangaya.Wameniambia hamna shida yeyote katika mkojo
Acha kumtisha mbona hapo imeansikwa blood negKaka hiyo ni ngoma...
Pima maambukizi ya virusi UKIMWI maana maradhi ya zinaa na Ukimwi ni sawa na mjomba na Shangazi wote ni ndugu mmojaHabari Mimi ni mwanaume naombeni msaada Kuna mwanamke nilikutana nae nikafanya nae mapenzi kwa Sasa ninapata maumivu wakati wa kukojoa pia maumivu chini ya kitovu na pia wakati wa kukojoa, pia maumivu wakati wa kujamiana nikaenda duka la dawa nikapewa doxyline na dawa nyingine nikatumia kwa siku tano baada ya kumaliza nikaona maumivu Kama yanazidi tu Hadi korodani pia zinauma ndipo nikaamua kwenda hospital nikapima mkojo majibu yakawa Kama ifuatavyo;
Naombeni msaada pleaseView attachment 2814462
Sawa doctaAcha kumtisha mbona hapo imeansikwa blood neg