Msaada wa matibabu ya STD

Msaada wa matibabu ya STD

Habari Mimi ni mwanaume naombeni msaada Kuna mwanamke nilikutana nae nikafanya nae mapenzi kwa Sasa ninapata maumivu wakati wa kukojoa pia maumivu chini ya kitovu na pia wakati wa kukojoa, pia maumivu wakati wa kujamiana nikaenda duka la dawa nikapewa doxyline na dawa nyingine nikatumia kwa siku tano baada ya kumaliza nikaona maumivu Kama yanazidi tu Hadi korodani pia zinauma ndipo nikaamua kwenda hospital nikapima mkojo majibu yakawa Kama ifuatavyo;

Naombeni msaada pleaseView attachment 2814462
Pima maambukizi ya virusi UKIMWI maana maradhi ya zinaa na Ukimwi ni sawa na mjomba na Shangazi wote ni ndugu mmoja
 
Mtoa mada nenda hospital nyingine humu ndani Kuna ma bush Drs wengi Kila mtu anatema matango pori yake utakuchukua na kuacha ya nani? Unapoelekea utakuja kukojoa dagaa.
 
Pole sana si ungeeenda hospitali????

Usimuamini kwa kumuangalia tu!

Jali afya yako!
 
Back
Top Bottom