Msaada wa matibabu ya ugonjwa wa kutoka malengelenge kwenye ngozi

Msaada wa matibabu ya ugonjwa wa kutoka malengelenge kwenye ngozi

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056

Pemphigus Vulgaris​

Nina ndugu yangu ana tatizo la ngozi kutoka malengelenge,tumetumia dawa nyingi lakini mafanikio ni madogo.

Nomba kama kuna mtu alishakutana na mgonjwa wa hii hali na kutibiwa akapata nafuu/kupona anisaidie alitumia dawa gani?

Kuna mtu kaniambia kuwa injection hii "RITUXIMAB" inasaidia. Nimesearch inaonekana very very expensive.

Shida yangu ni kuwa is it effective? Nikitoa Sat 3.8M will it meet the needed results?

Asanteni.

1670764287392.png
 

Pemphigus Vulgaris​

Nina ndugu yangu ana tatizo la ngozi kutoka malengelenge. Tumetumia dawa nyingi lakini mafanikio ni madogo.
Nomba kama kuna mtu alishakutana na mgonjwa wahii hali na kutibiwa akapata nafuu/kupona anisaidie alitumia dawa gani.

Kuna mtu kaniambia kuwa injection hii...RITUXIMAB.. inasaidia. Nimesearch inaonekana very very expensive. Shida yangu ni kuwa is it effective? Nikitoa sat 3.8M will it meet the needed results

asanteni

View attachment 2443125
Lakini hata si huwa yanakuja na kupotea halafu yanarudi tena.mimi nina ndugu yangu analo hili tatizo ila ndiyo hivyo hivyo anatumia dawa.yanapotea ila tanarudi tena baada ya muda
 

Pemphigus Vulgaris​

Nina ndugu yangu ana tatizo la ngozi kutoka malengelenge. Tumetumia dawa nyingi lakini mafanikio ni madogo.
Nomba kama kuna mtu alishakutana na mgonjwa wahii hali na kutibiwa akapata nafuu/kupona anisaidie alitumia dawa gani.

Kuna mtu kaniambia kuwa injection hii...RITUXIMAB.. inasaidia. Nimesearch inaonekana very very expensive. Shida yangu ni kuwa is it effective? Nikitoa sat 3.8M will it meet the needed results

asanteni

View attachment 2443125
Fanya hivi nenda pale azania front kanisani dar es salaam . Kuna dispensari madaktari wake wa magonjwa ya ngozi nj wazuri. Kuna mgonjwa wangu ilimsumbua sana ugonjwa wa aina hiyo. Kama hawapo tena pale waulize wakuelekezd walipo kwa sasa.
 

Pemphigus Vulgaris​

Nina ndugu yangu ana tatizo la ngozi kutoka malengelenge,tumetumia dawa nyingi lakini mafanikio ni madogo.

Nomba kama kuna mtu alishakutana na mgonjwa wa hii hali na kutibiwa akapata nafuu/kupona anisaidie alitumia dawa gani?

Kuna mtu kaniambia kuwa injection hii "RITUXIMAB" inasaidia. Nimesearch inaonekana very very expensive.

Shida yangu ni kuwa is it effective? Nikitoa Sat 3.8M will it meet the needed results?

Asanteni.

View attachment 2443125
Kuna mmea mmoja sijui unaitwaje, ila kuna binti mmoja alisumbuka sana ulimsaidia nadhani ndani ya wiki mbili ilipotea kabisaa!! Ni kama miaka 5 sasa vipele havijarudi!! Ngoja niutafute nikupigie picha
 
Lakini hata si huwa yanakuja na kupotea halafu yanarudi tena.mimi nina ndugu yangu analo hili tatizo ila ndiyo hivyo hivyo anatumia dawa.yanapotea ila tanarudi tena baada ya muda
asante sana na wa kwangu inatokea hivyo. anatumia dawa gani please
 
Kuna mmea mmoja sijui unaitwaje, ila kuna binti mmoja alisumbuka sana ulimsaidia nadhani ndani ya wiki mbili ilipotea kabisaa!! Ni kama miaka 5 sasa vipele havijarudi!! Ngoja niutafute nikupigie picha
nitashukuru sana tena sana
 
Mkanda wa jeshi,dalili ya umeme dalili ya umeme
 
Moderators asante kwa kunifanyia marekebisho. I am desparate!
 

Pemphigus Vulgaris​

Nina ndugu yangu ana tatizo la ngozi kutoka malengelenge,tumetumia dawa nyingi lakini mafanikio ni madogo.

Nomba kama kuna mtu alishakutana na mgonjwa wa hii hali na kutibiwa akapata nafuu/kupona anisaidie alitumia dawa gani?

Kuna mtu kaniambia kuwa injection hii "RITUXIMAB" inasaidia. Nimesearch inaonekana very very expensive.

Shida yangu ni kuwa is it effective? Nikitoa Sat 3.8M will it meet the needed results?

Asanteni.

View attachment 2443125

Pole kwa kuuguliwa.

Ni tatizo linalohitaji proper history, examination and test/investigations and diagnosis.

Ni tatizo la kuhusisha multidisciplinary approach: dermatologist vs Oncologist.

Kuna dawa zinazoendana na RITUXIMAB kama Azathioprine na Methotraxate. Hizi zote in Immune moderators.
 
Kwa hatua za awal mwambia aache kutumia maziwa karanga na samak wa aina yoyote aone ndan ya kpnd cha mda flan aone maendeleo yake
 
Pole kwa kuuguliwa.

Ni tatizo linalohitaji proper history, examination and test/investigations and diagnosis.

Ni tatizo la kuhusisha multidisciplinary approach: dermatologist vs Oncologist.

Kuna dawa zinazoendana na RITUXIMAB kama Azathioprine na Methotraxate. Hizi zote in Immune moderators.
asante ndugu yangu! yalizuka tu hivi hici. basi ngoja tujaribu hizi ulizozitaja.

1670776478994.png
 
Pole kwa kuuguliwa.

Ni tatizo linalohitaji proper history, examination and test/investigations and diagnosis.

Ni tatizo la kuhusisha multidisciplinary approach: dermatologist vs Oncologist.

Kuna dawa zinazoendana na RITUXIMAB kama Azathioprine na Methotraxate. Hizi zote in Immune moderators.
hapa vilikuwa vimepona, sasa vimerudi kwa picha ya juu niliyokutumia
1670777605909.png
 
hapa vilikuwa vimepona, sasa vimerudi kwa picha ya juu niliyokutumia
View attachment 2443329
Huwa kuna active na remission phases. Ukipata watu husika pale juu watakuelezea vyema kuhusu tatizo, tiba na kupunguza stress ambazo wakati mwingize zinaweza kuchangiwa na kutokuwa na ufahamu mpana wa nini kinaendelea kwa ndugu yetu.

Ni tatizo linalokuja vs kupotea/kupona na kujirudia. Hivyo, tiba inakuwa inaendana na hali halisi.
 
Ukipata watu husika pale juu watakuelezea vyema kuhusu tatizo, tiba na kupunguza stress ambazo wakati mwingize zinaweza kuchangiwa na kutokuwa na ufahamu mpana wa nini kinaendelea kwa ndugu yetu.
asante, nimepokea mawazo ya wote na mengine tumeanza kuyafanyia kazi
 
asante, nimepokea mawazo ya wote na mengine tumeanza kuyafanyia kazi
Pia, kuna swala la dawa nyinginezo ambazo huusishwa kwenye kuleta shida zaidi. Kama zenye asili ya antibiotics/penicillin, dawa za presha, dawa za maumivu. Ni vitu vya msingi kuzingatiwa wakati na baada ya tiba.

Wataalamu wa afya wanaweza kuwasaidieni ili asitumie dawa zenye kuongeza tatizo na hivyo kupewa dawa mbadala/zisizo na asili ya kuwaletea matatizo zaidi watu wa aina hii.
 
Pia, kuna swala la dawa nyinginezo ambazo huusishwa kwenye kuleta shida zaidi. Kama zenye asili ya antibiotics/penicillin, dawa za presha, dawa za maumivu. Ni vitu vya msingi kuzingatiwa wakati na baada ya tiba.

Wataalamu wa afya wanaweza kuwasaidieni ili asitumie dawa zenye kuongeza tatizo na hivyo kupewa dawa mbadala/zisizo na asili ya kuwaletea matatizo zaidi watu wa aina hii.
Kwali tulikwenda hospital wakasema antibiotic siyo tiba sahihi mziache. sasa ndugu yangu tusaidie tutumie dawa gani. Dawa za presha anameza vile vile, hapo tunafanyaje ku control presha bila dawa! Telimisatan,
Itakua ukimwi.
No, hilo hana by 100%
 
Back
Top Bottom