Msaada wa matibabu ya ugonjwa wa kutoka malengelenge kwenye ngozi

Msaada wa matibabu ya ugonjwa wa kutoka malengelenge kwenye ngozi

Kwali tulikwenda hospital wakasema antibiotic siyo tiba sahihi mziache. sasa ndugu yangu tusaidie tutumie dawa gani. Dawa za presha anameza vile vile, hapo tunafanyaje ku control presha bila dawa! Telimisatan,

No, hilo hana by 100%

Habari,

1: Pamoja na kutumia immune moderator kama Methotraxate mfano, bado atahitaji antibiotics ili kutibia au kuzuia further infections. Ngozi ikishapata ufa ni dhahili huwezi kukwepa shambulio la bakteria kwa njinsi ilivyo hapo. Dawa hizo zisihusishe zenye kuzidisha tatizo husika.

2: Dawa za presha ataendelea kutumia ila zisiwe miongoni mwa zenye kuleta madhila zaidi kuhusiana na tatizo .

Inawezekana tatizo likawa linazidishwa na vitu kama hivyo hapo juu.

Taarifa kama hizi ni rahisi kwa watu wa afya kuzifanyia kazi kwako itakuwa ni too much information.

NB: Regular use of certain medications: Chelating agents, such as penicillamine, ACE inhibitors(Losartan/Telmisartan, Nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs), such as aspirin can worsen the symptoms.
 

Pemphigus Vulgaris​

Nina ndugu yangu ana tatizo la ngozi kutoka malengelenge,tumetumia dawa nyingi lakini mafanikio ni madogo.

Nomba kama kuna mtu alishakutana na mgonjwa wa hii hali na kutibiwa akapata nafuu/kupona anisaidie alitumia dawa gani?

Kuna mtu kaniambia kuwa injection hii "RITUXIMAB" inasaidia. Nimesearch inaonekana very very expensive.

Shida yangu ni kuwa is it effective? Nikitoa Sat 3.8M will it meet the needed results?

Asanteni.

View attachment 2443125
Soma hapa halafu mpigie namba hizo atakushauri.


Kama unaumwa ugonjwa wowote na umetumia dawa za hospitalini au miti shamba au virutubisho tiba na hujapona bado kuna tumaini.

Ukiona umepita kote huko na iinakua heri ya jana ujue tatizo haliko kwa dawa ulizotumia.

Tatizo lipo kwako mwenyewe. Ndani ya mwlii wako kuna kitu kinaitwa seli shina. Kazi ya hizo seli ni kuuwezesha mwili ujitibu wenyewe au kusaidia dawa unazotumia ili zikutibu.

Endapo hizi seli zako zikiwa zimekufa au kupoteza uwezo inakua ngumu sana kupona au kutibika kwa dawa yyte ile.

Kwa hio kitu ambacho wataalamu na madaktari wa uswis waligundua miaka ya hivi karibuni ni kumrudishia mgonjwa seli zake na kurekebisha zile zilizoharibika kwa matumizi ya stemcell therapy.

Seli za mwili huweza kuharibika kwa sababu nyingi. Umri mkubwa, maradhi mbalimbali, matumizi holela ya dawa, sumu ya vyakula tunavyakula maji na vinywaji, kutokuwa na tabia ya kufanya mazoezi, kuzalia n.k.

Stemcell therapy ni seli shina za mwili, zilizochakatwa kisayansi kutoka kwenye mimea na matunda yenye seli zinazofanana na za mwandamu.

Mgonjwa akitumia seli hizi kwa mzunguko wa siku 21 au 42 na 63. Zinauwezesha mwili kurudisha uwezo wake wa kiasili ambao utamsaidia kuondoa maradhi yote ndani na kuoambana na aina yyte ya magonjwa sugu. Hivyo kumsaodoa mgonjwa kupona kwa wepesi hata akitumia dawa dhaifu.

Stemcells therapy inahusika moja kwa moja au kwa kutumia dawa za kawaida kutibu zaidi ya magonjwa 200 yakiwepo haya kwenye picha.

Kwa maelezo zaidi mpigie dkt Ben Soy wa kitengo cha utafiti na tiba SUA 0719794789 au 0699254400.
 

Pemphigus Vulgaris​

Nina ndugu yangu ana tatizo la ngozi kutoka malengelenge,tumetumia dawa nyingi lakini mafanikio ni madogo.

Nomba kama kuna mtu alishakutana na mgonjwa wa hii hali na kutibiwa akapata nafuu/kupona anisaidie alitumia dawa gani?

Kuna mtu kaniambia kuwa injection hii "RITUXIMAB" inasaidia. Nimesearch inaonekana very very expensive.

Shida yangu ni kuwa is it effective? Nikitoa Sat 3.8M will it meet the needed results?

Asanteni.

View attachment 2443125
Hizo hela nyingi sana mkuu na hio dawa inaweza isikusaidie. Mtafute huyo Dr Ben atakushauri. Inawezekana hata usirumie dawa.
Namba hii 0719794789.
 
Fanya hivi nenda pale azania front kanisani dar es salaam . Kuna dispensari madaktari wake wa magonjwa ya ngozi nj wazuri. Kuna mgonjwa wangu ilimsumbua sana ugonjwa wa aina hiyo. Kama hawapo tena pale waulize wakuelekezd walipo kwa sasa.
Hao madaktari hawapo. Siku hizi wamehamia SUA. Kuna namba nimempa ya mmoja wao. Kupitia hio anaweza kujua atawapataje
 
Habari,

1: Pamoja na kutumia immune moderator kama Methotraxate mfano, bado atahitaji antibiotics ili kutibia au kuzuia further infections. Ngozi ikishapata ufa ni dhahili huwezi kukwepa shambulio la bakteria kwa njinsi ilivyo hapo. Dawa hizo zisihusishe zenye kuzidisha tatizo husika.

2: Dawa za presha ataendelea kutumia ila zisiwe miongoni mwa zenye kuleta madhila zaidi kuhusiana na tatizo .

Inawezekana tatizo likawa linazidishwa na vitu kama hivyo hapo juu.

Taarifa kama hizi ni rahisi kwa watu wa afya kuzifanyia kazi kwako itakuwa ni too much information.

NB: Regular use of certain medications: Chelating agents, such as penicillamine, ACE inhibitors(Losartan/Telmisartan, Nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs), such as aspirin can worsen the symptoms.
asante kwa ushauri.
 
Kuna mmea mmoja sijui unaitwaje, ila kuna binti mmoja alisumbuka sana ulimsaidia nadhani ndani ya wiki mbili ilipotea kabisaa!! Ni kama miaka 5 sasa vipele havijarudi!! Ngoja niutafute nikupigie picha
habari. Naomba nikukumbushe kunipigia picha huo mmea
 
Pole sana mkuu. Jaribuni kila mnalofikiri linaweza kumsaidia mgonjwa, IKISHINDIKANA basi kuna njia moja tu ambayo haina kufeli kamwe. Bwana wa majeshi ndiye mponyaji, yeye ndiye aliyemuumba nayeye ndiye afanyaye ya kale kuwa mapya.

Tunanyenyekea mbele zake tukiamini yeye yupo
 
Soma hapa halafu mpigie namba hizo atakushauri.


Kama unaumwa ugonjwa wowote na umetumia dawa za hospitalini au miti shamba au virutubisho tiba na hujapona bado kuna tumaini.

Ukiona umepita kote huko na iinakua heri ya jana ujue tatizo haliko kwa dawa ulizotumia.

Tatizo lipo kwako mwenyewe. Ndani ya mwlii wako kuna kitu kinaitwa seli shina. Kazi ya hizo seli ni kuuwezesha mwili ujitibu wenyewe au kusaidia dawa unazotumia ili zikutibu.

Endapo hizi seli zako zikiwa zimekufa au kupoteza uwezo inakua ngumu sana kupona au kutibika kwa dawa yyte ile.

Kwa hio kitu ambacho wataalamu na madaktari wa uswis waligundua miaka ya hivi karibuni ni kumrudishia mgonjwa seli zake na kurekebisha zile zilizoharibika kwa matumizi ya stemcell therapy.

Seli za mwili huweza kuharibika kwa sababu nyingi. Umri mkubwa, maradhi mbalimbali, matumizi holela ya dawa, sumu ya vyakula tunavyakula maji na vinywaji, kutokuwa na tabia ya kufanya mazoezi, kuzalia n.k.

Stemcell therapy ni seli shina za mwili, zilizochakatwa kisayansi kutoka kwenye mimea na matunda yenye seli zinazofanana na za mwandamu.

Mgonjwa akitumia seli hizi kwa mzunguko wa siku 21 au 42 na 63. Zinauwezesha mwili kurudisha uwezo wake wa kiasili ambao utamsaidia kuondoa maradhi yote ndani na kuoambana na aina yyte ya magonjwa sugu. Hivyo kumsaodoa mgonjwa kupona kwa wepesi hata akitumia dawa dhaifu.

Stemcells therapy inahusika moja kwa moja au kwa kutumia dawa za kawaida kutibu zaidi ya magonjwa 200 yakiwepo haya kwenye picha.

Kwa maelezo zaidi mpigie dkt Ben Soy wa kitengo cha utafiti na tiba SUA 0719794789 au 0699254400.
Utaje na bei ili watu waelewe vizuri
 
Back
Top Bottom