Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Mwenye ufahamu wa dawa ya mitishimba kama tiba ya maumivu chini ya mgongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni PMMwenye ufahamu wa dawa ya mitishimba kama tiba ya maumivu chini ya mgongo.
Tafuta mafuta ya mzaituni pakaMwenye ufahamu wa dawa ya mitishimba kama tiba ya maumivu chini ya mgongo.
Shukrani kwa ushauriTafuta mafuta ya mzaituni paka
Kila kitu PM. Acheni ubinafsi mbwa nyieNi PM
🖕🖕🖕🖕Kila kitu PM. Acheni ubinafsi mbwa nyie
Kwanza unazijua sababu zinazo sababisha maumivu ?Mwenye ufahamu wa dawa ya mitishimba kama tiba ya maumivu chini ya mgongo.
Hapana ni chini ya mgongo tu.je, ni tatizo la Mgongo linaloendana na miguu kuuma mpaka kushindwa kutembea?
Weka tiba1. Mishipa ya fahamu kubana (Herniated Disc) - Hali ambapo diski za uti wa mgongo zinatoka kwenye nafasi zao, na kubana mishipa ya fahamu, husababisha maumivu makali.
Hayo maumivu yamesababishwa na nini ?Weka tiba
Hiyo dawa ya Kienyeji ipo. Unapona1. Mishipa ya fahamu kubana (Herniated Disc) - Hali ambapo diski za uti wa mgongo zinatoka kwenye nafasi zao, na kubana mishipa ya fahamu, husababisha maumivu makali.
Na mimi nimemwambia ani PM ili nimpe namba akapate tiba, kuna mtu humu humu katibiwa Kansa na anaendelea kupona na mwingine HIV baada ya mwezi kaambiwa akapimeHiyo dawa ya Kienyeji ipo. Unapona
Tukupe namba umpigieWeka tiba
mimi namfahamu ni mtawa wa kikatoliki ameponyesha wengi wanaoumwa hizo pingili. Mengine sijui. Sijui kama ni halali kuweka namba hapa au anayetaka nimtumie PMNa mimi nimemwambia ani PM ili nimpe namba akapate tiba, kuna mtu humu humu katibiwa Kansa na anaendelea kupona na mwingine HIV baada ya mwezi kaambiwa akapime