CompaQ
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 281
- 134
Habari jamvini.
nina mdogo wangu amabe matokeo mapya yametoka ni mmoja wao lakini matokeo yametoka ana Div 4 point 32 na ana D 3 alikuwa anasoma Art kiukweli Mdogo wangu Sijui nimsaidie vipi wadau pengine kwa Point hizo anaweza pata chuo na kozi gani ya Kusoma!
Nisaidieni Mawazo!!
nina mdogo wangu amabe matokeo mapya yametoka ni mmoja wao lakini matokeo yametoka ana Div 4 point 32 na ana D 3 alikuwa anasoma Art kiukweli Mdogo wangu Sijui nimsaidie vipi wadau pengine kwa Point hizo anaweza pata chuo na kozi gani ya Kusoma!
Nisaidieni Mawazo!!