Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei yao ipoje ?Ando ni wazuri ila bei yao mhhhhhhhh......
Mkuu bando ni bei gani kwa sasaANDO hao jamaa bidhaa zao n nzur kabisa, naongea kitu ambacho nakijua na nishawah kufanya nao kaz kam mwajiriwa wao
Hutojuta kutumia bidhaa zao trust me
Kam upo Dar au dom naweza taj eneo ambalo lina bat yao kisha ukaulize wew zina muda gan hap juu
Na pess pia ulitoa nyingi"Aisifuye mvua imemnyea" . Mimi hao ANDO siwajui ila ninawajua ALAF. Naweza kuthibitisha bila shaka ubora wa mabati ya ALAF ni wa kiwango cha juu sana kwa hapa TZ. Miaka 5 sasa bati linang'aa kama limeezekwa jana.
Uwezo tena? Bei ya ANDO ni kubwa kuliko ya ALAFKama uwezo upo, nenda ALAF, lakini iwe Kwa wakala wa kueleweka. Hiyo ni Kwa uzoefu wangu. ANDO nasikia ni wazuri ila sijawahi fuatilia ubora wa bati zao.
Uwezo tena? Bei ya ANDO ni kubwa kuliko ya ALAF
Hao ANDO wapo eneo gani kwa Dodoma ?ANDO hao jamaa bidhaa zao n nzur kabisa, naongea kitu ambacho nakijua na nishawah kufanya nao kaz kam mwajiriwa wao
Hutojuta kutumia bidhaa zao trust me
Kam upo Dar au dom naweza taj eneo ambalo lina bat yao kisha ukaulize wew zina muda gan hap juu