Msaada wa mawazo mwenzenu sijui nifanye nini hadi muda huu

nauli sio nauri Shuaini zako mfyuuuuuuu mxiiiiiiuuuuuu
Hahaa.

Kazi kweli kweli.

Hivi kwani wanaume (baadhi)kitulia na wake zenu haiwezekani?

Unajifanya unampenda mkeo huku uko busy kumtafutia Zawadi ya Ukimwi.

Huyo mwanamke wako mwwnyewe anaonekana ni wale wadangaji fourth grade.
20k unamhonga na yeye anapokea anavua pichu.

Shame on both of you.
 
Nyoko. Si ungemquote mhusika. Mxiiiuuu zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…