Msaada wa mawazo: Nampenda sana kiukweli

Msaada wa mawazo: Nampenda sana kiukweli

Subiri vijana wenzio wakusaidie.
 
Mwenzako wakati najifunza kutongoza, kuna binti nlkuwa nampenda sana ila kumtokea nikiwa macho makavu nkashindwa na ikumbukwe simu za mikononi ilikuwa ni shida kumiliki....nkaamua kula kuberi kukata aibu, nkampa mistari kwa mda baada ya kuberi kuisha nguvu nikakimbia , ila ilisaidia ujumbe ulifika.

My take: Penye nia pana njianimekupat mkuu
 
ni bahati mbaya tu mkuu,ni
mtu wa chuo anaogopa semester exams kuliko mwanamke! pia mwandiko wako sio wa intellectual
kwamb tuko tofauti wengne tuna mishpa y aibu labda niseme ko mi nataka iyo hali nisiwe nayo
 
Enzi za utoto wako uli ruka step kwa maana ya hukucheza kombolela na wasichana ndo maana unawaogopa.
Kasome chuo cha kutongoza nadhani hii itakusaidia.
 
habari zenu wakuu,? naomba kuwasilisha na kusaaidiwa kimawazo juu ya huyu binti jaman kwanza Mimi ni kijana Wa umri miaka 20 ni mwanafunzi Wa chuo hapa jijini dar es salaam kiukweli Mimi nimekuwa mzito sana kutongoza na kuexplain hisia zangu kwa wadada pale ninapokuwa nimependa au kutaka kuwa n gal friend sijui tatzo nin sasa jaman hii hali inaniumiza sana na kunifanya nijihisi mpweke mda mwingi kwa kuogopa kuongea na mdada,dah imefika hatua kwa huyu binti ambae nimetokea kumpenda saba hapa chuo na ananichanganya sana kichwa changu kwanin ninetokea kumuelewa sana,nasoma nae baadhi ya coz pa1 hivi nilikuwa namwona tu ktk lecture rooms na aehrm zngne na Mara nyingi huwa anashnda peke ake a nap kuwa chuo licha ya hivo nilishindwa kuongea nae hat nikikaa nae karbu huwa naogpa sana kumwonglesha,lakin hivi karbuni nlitafuta namba yake nikapat nikamwomba tuwe marafik katka masom akasema saw lakin akasema hanifahamu ivo Jana nikaonana nae na kuongea nae kidgo tu lakin hat ivo namtumia text anajibu baadh tu zngne hajibu kam Jan jion nlimwomb tuonane hakureply asubuh nimemtumia text y kunuamsh hajareply n text zngne yupo kimya tu ivo Leo cjabahatik kuonana nae chuo.lakin hata Ivo nawaz niraanzaje kubwambia abt love and relation coz natak awe Wang,hadi nawaza kwenda kwa mganga w jadi kam inawezekan akanisaidia kunip dawa itakayofanya nimpate aise naomb mnisaidie nifanyej kijan mwenzenu naumia sana kwa ajil yake?

usiende kwa mganga hapo hujasolve tatizo.hapo utaenda kuongeza zaidi ya hilo na utajuta milele.cha msingi ni kujiamini na kuondoa woga.be like a man.usimtumie sms za kijinga jinga muda wote tuma sms ya kutaka kuonana naye somewhere ili urushe voko zako.tafuta maneno matamu mazuri ya kuongea naye express your feelings to her.Fanya mazoezi ya kutongoza ingia room jifungie act kama unaongea naye ili ujenge confidence.isitoshe coca nao wamerahisisha mambo unaweza kuelezea hisia zako kwa kutumia coca.
 
habari zenu wakuu,? naomba kuwasilisha na kusaaidiwa kimawazo juu ya huyu binti jaman kwanza Mimi ni kijana Wa umri miaka 20 ni mwanafunzi Wa chuo hapa jijini dar es salaam kiukweli Mimi nimekuwa mzito sana kutongoza na kuexplain hisia zangu kwa wadada pale ninapokuwa nimependa au kutaka kuwa n gal friend sijui tatzo nin sasa jaman hii hali inaniumiza sana na kunifanya nijihisi mpweke mda mwingi kwa kuogopa kuongea na mdada,dah imefika hatua kwa huyu binti ambae nimetokea kumpenda saba hapa chuo na ananichanganya sana kichwa changu kwanin ninetokea kumuelewa sana,nasoma nae baadhi ya coz pa1 hivi nilikuwa namwona tu ktk lecture rooms na aehrm zngne na Mara nyingi huwa anashnda peke ake a nap kuwa chuo licha ya hivo nilishindwa kuongea nae hat nikikaa nae karbu huwa naogpa sana kumwonglesha,lakin hivi karbuni nlitafuta namba yake nikapat nikamwomba tuwe marafik katka masom akasema saw lakin akasema hanifahamu ivo Jana nikaonana nae na kuongea nae kidgo tu lakin hat ivo namtumia text anajibu baadh tu zngne hajibu kam Jan jion nlimwomb tuonane hakureply asubuh nimemtumia text y kunuamsh hajareply n text zngne yupo kimya tu ivo Leo cjabahatik kuonana nae chuo.lakin hata Ivo nawaz niraanzaje kubwambia abt love and relation coz natak awe Wang,hadi nawaza kwenda kwa mganga w jadi kam inawezekan akanisaidia kunip dawa itakayofanya nimpate aise naomb mnisaidie nifanyej kijan mwenzenu naumia sana kwa ajil yake?
Mnunulie i phone 6, kisha mwekee vocha ya laki moja, alafu mpe laki mbili za matumizi ya wiki, baada ya hapo mwenyewe ata ku sms kuwa nilini unanafasi ukamkanyage.
 
hah a
Enzi za utoto wako uli ruka step kwa maana ya hukucheza kombolela na wasichana ndo maana unawaogopa.
Kasome chuo cha kutongoza nadhani hii itakusaidia.
apana mkuu ni baada ya kufka o level ndo nikawa ivo but stage zte nimepata.hii hali nimeshangaa sana kwanin ukubwani na kwa watot wazuri jaman
 
hah
Mnunulie i phone 6, kisha mwekee vocha ya laki moja, alafu mpe laki mbili za matumizi ya wiki, baada ya hapo mwenyewe ata ku sms kuwa nilini unanafasi ukamkanyage.
hah sawa mkuu,ilaaa
 
Back
Top Bottom