Amani Benson
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 658
- 1,502
- Thread starter
-
- #21
Sorry zuchu, ni jina ila ungeweka wasifu wake nafikiri ningeweza kutambua kiasi fulani.Mkuu unamjua zuchu
Huyu hapaSorry zuchu, ni jina ila ungeweka wasifu wake nafikiri ningeweza kutambua kiasi fulani.
tatizo ushalifahamu ni wewe kuchukue hatuaMkuu kama jana pia kuna matumizi ambayo hayakuwa nalazima ila nikajikuta nimegalamika usiku ulipo ufika nikaenda kupiga bia zinipe speed ya kulala nako kwene bia nikpata stress tena sasa kila nikitazama future yangu naona kabisa hapa nazingua.
Oky huyu namtambua mkuu kafanyaje?Huyu hapa View attachment 3063644
Mkuu acha tuuu acha tuu daaahOky huyu namtambua mkuu kafanyaje?
Ni kweli kabisa labda niseme kitu kimoja kuchukua si jambo jepesi mkuu thus kwangu mimi hua ni mchakato ambayo natakiwa niujenge vizuri.tatizo ushalifahamu ni wewe kuchukue hatua
Dr kweli uyasemayo ila katika haya mambo yangu niseme tu huwa siumizi sana wallet yangu na ikitokea nimeumiza hua kuna namna nafanya ili ni balance wallet yangu siwezi kusema ni namna gani nafanya ila hua sina tabia za kuumiza wallet yangu mara kwa mara ila kwa outing huwa nachanika mkuu as mwanaume siwezi kuruusu kulipiwa bill.Unachanganya timu
Unayemuita IBRA ndo huyo kadabla na kamsave baba na huwa anajiiba naye usiku ili amfungulie mlango wa uhani.
So ni sifa nzuri kuwa player Ila ni sifa nzuri sana kuwa KOCHA wa mchezo kuwachezesha wachezaji ambao Mimi huwaita MILUPO Ila wengine waliokufa wakaoza uwaita my BUU.
Kikubwa ulinde mfuko wako hili huko mbele yasije yakabaki MAJUTO badala ya MFUKO wa MAFAO
Habari ya muda huu wakuu, nina changamoto nazipitia changamoto zenyewe ni hizi kwanza nina nina mke na mto mmoja wa miaka 6 anasoma chekechea ada yake ni kubwa kidogo pili nina mchepuko ana mimba ya miezi kama 7 hivi tatu nina mpenzi ambaye ni mke wa mtu na ananipenda kweli kweli kiasi nikimzingua anaumwa ukiachilia hao nina michepuko kama watatu hivi ambao ni winja winja... Wakuu naomba ushauri nwaza niachane nao naishindwa nawaza nitulie na wife nashindwa kiufupi nimekua sielewi nafanya nini......!!!
Mkuu umenena kwa maana sana,, sasa point ni kwamba nahitaji kutulia ila wife game ananipaga kwa mashariti kweli kweli thus nakua na high panic mpak kutafuta huduma outside.Sikia ushauri wangu bora,
Mke wa mtu ni sumu kali sana achana nae mara moja.
Michepuko si mizuri kwa sababu wanarudisha maendeleo ya uchumi na kukufelisha kifamilia.
Mke wako mheshimu Sana kwa sababu amekusitiri mambo mengi na huyo ni mwanamke wako wa maisha.
Watunze watoto wako na mkeo wapende pia
Fanya ibada kwa mola mlezi akulinde na akuepushe na mabaya.
Amiin.
What's wrong mkuu?Mkuu acha tuuu acha tuu daaah
Acha mkuu acha kabisa...What's wrong mkuu?
Kama unavosema najua na kutambua ila mi na play smart sana mzee hua siruuhusu ujinga na hua sina tabia za ku date na watu wasiojielewa. Chukua hiyo wanawake wanaupendo wa 100% akiamua kukulinda atakulinda ni wewe sasa ubakia na akili timamu ya kulinda uhusiano usikae ki 444.Sikushauri chochote unajua na unatambua unachokifanya ila nakukumbusha ukumbuke kutembea na KY-JELLY sababu wakati wowote huenda utatatuliwa marinda!
Mkuu sina cha kusema katika comment hiiAcha mkuu acha kabisa...
Shukuru mungu una michepuko ya kutosha wee shukuru mungu
Kwanini mkuu?Hatari sana
Nimekuelewa mkuu Amani BensonKama unavosema najua na kutambua ila mi na play smart sana mzee hua siruuhusu ujinga na hua sina tabia za ku date na watu wasiojielewa. Chukua hiyo wanawake wanaupendo wa 100% akiamua kukulinda atakulinda ni wewe sasa ubakia na akili timamu ya kulinda uhusiano usikae ki 444.
Ok mkuuNimekuelewa mkuu Amani Benson