Msaada wa mawazo: Niachane na nani kati ya hawa?

Mkuu kama jana pia kuna matumizi ambayo hayakuwa nalazima ila nikajikuta nimegalamika usiku ulipo ufika nikaenda kupiga bia zinipe speed ya kulala nako kwene bia nikpata stress tena sasa kila nikitazama future yangu naona kabisa hapa nazingua.
tatizo ushalifahamu ni wewe kuchukue hatua
 
Unachanganya timu

Unayemuita IBRA ndo huyo kadabla na kamsave baba na huwa anajiiba naye usiku ili amfungulie mlango wa uhani.


So ni sifa nzuri kuwa player Ila ni sifa nzuri sana kuwa KOCHA wa mchezo kuwachezesha wachezaji ambao Mimi huwaita MILUPO Ila wengine waliokufa wakaoza uwaita my BUU.

Kikubwa ulinde mfuko wako hili huko mbele yasije yakabaki MAJUTO badala ya MFUKO wa MAFAO
 
Sikia ushauri wangu bora,

Mke wa mtu ni sumu kali sana achana nae mara moja.

Michepuko si mizuri kwa sababu wanarudisha maendeleo ya uchumi na kukufelisha kifamilia.

Mke wako mheshimu Sana kwa sababu amekusitiri mambo mengi na huyo ni mwanamke wako wa maisha.

Watunze watoto wako na mkeo wapende pia

Fanya ibada kwa mola mlezi akulinde na akuepushe na mabaya.

Amiin.
 
tatizo ushalifahamu ni wewe kuchukue hatua
Ni kweli kabisa labda niseme kitu kimoja kuchukua si jambo jepesi mkuu thus kwangu mimi hua ni mchakato ambayo natakiwa niujenge vizuri.
 
Dr kweli uyasemayo ila katika haya mambo yangu niseme tu huwa siumizi sana wallet yangu na ikitokea nimeumiza hua kuna namna nafanya ili ni balance wallet yangu siwezi kusema ni namna gani nafanya ila hua sina tabia za kuumiza wallet yangu mara kwa mara ila kwa outing huwa nachanika mkuu as mwanaume siwezi kuruusu kulipiwa bill.
 
Sikushauri chochote unajua na unatambua unachokifanya ila nakukumbusha ukumbuke kutembea na KY-JELLY sababu wakati wowote huenda utatatuliwa marinda!
 

Chai...
 
Mkuu umenena kwa maana sana,, sasa point ni kwamba nahitaji kutulia ila wife game ananipaga kwa mashariti kweli kweli thus nakua na high panic mpak kutafuta huduma outside.
 
Sikushauri chochote unajua na unatambua unachokifanya ila nakukumbusha ukumbuke kutembea na KY-JELLY sababu wakati wowote huenda utatatuliwa marinda!
Kama unavosema najua na kutambua ila mi na play smart sana mzee hua siruuhusu ujinga na hua sina tabia za ku date na watu wasiojielewa. Chukua hiyo wanawake wanaupendo wa 100% akiamua kukulinda atakulinda ni wewe sasa ubakia na akili timamu ya kulinda uhusiano usikae ki 444.
 
Nimekuelewa mkuu Amani Benson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…