Amani Benson
JF-Expert Member
- Nov 21, 2023
- 658
- 1,502
- Thread starter
-
- #61
Unahisi wote tunaopost ni wavulana huna hoja mzee achana na mambo ya kina Gen z.....Tukimaliza mapambano ya Gen Z, Tuanzishe ya kupunguza wavulana kwenye ndoa
Michepuko uliitongoza mwenye, ukaijaza mimba wewe, ukatongoza wake za watu wewe halafu Ushauri tukupe sisi au cyoo.....Unahisi wote tunaopost ni wavulana huna hoja mzee achana na mambo ya kina Gen z.....
Usiwe seriously na hizi mambo za mitandaoni broMichepuko uliitongoza mwenye, ukaijaza mimba wewe, ukatongoza wake za watu wewe halafu Ushauri tukupe sisi au cyoo.....
π π π hapana mtajishauriNa wewe unataka ushauri?
Kumbe unajitekenya na kucheka mwenyewe jinga kabisaUsiwe seriously na hizi mambo za mitandaoni bro
Acha ufala pambania kombe wote halali yakoHabari ya muda huu wakuu, nina changamoto nazipitia changamoto zenyewe ni hizi kwanza nina nina mke na mto mmoja wa miaka 6 anasoma chekechea ada yake ni kubwa kidogo pili nina mchepuko ana mimba ya miezi kama 7 hivi tatu nina mpenzi ambaye ni mke wa mtu na ananipenda kweli kweli kiasi nikimzingua anaumwa ukiachilia hao nina michepuko kama watatu hivi ambao ni winja winja... Wakuu naomba ushauri nwaza niachane nao naishindwa nawaza nitulie na wife nashindwa kiufupi nimekua sielewi nafanya nini......!!!
Napiga chini wote mzee mana hata mke nimegundua ni mkuda tu hawezi kuwa ananipa game kiwizi wizi.Kama una hela endelea nao wote,ila kama choka mbaya mwenzangu..piga chini wote hadi mke
mbaga bhana hahahhahahahaUmesahau jambo la nne kuwa pia kuna wahuni walipita na matuta yako
Si ndiooooo πmbaga bhana hahahhahahaha
kumbe ulikuwa na majibu mkuuNapiga chini wote mzee mana hata mke nimegundua ni mkuda tu hawezi kuwa ananipa game kiwizi wizi.
nimecheka mimi aisee, thanks for this as is a start of my weekend..in one hour am ready for itSi ndiooooo π
Karibu sana PM For more fun πnimecheka mimi aisee, thanks for this as is a start of my weekend..in one hour am ready for it
hahahhaha let's enjoy the fun here mkuuKaribu sana PM For more fun π
Bc unyama bosshahahhaha let's enjoy the fun here mkuu
Unaijua ID ya mumeo humu? Isijekuwa ni yeyeTulia na mchepuko..mke mfukuze
Yeah nimeshaijua ...ila hayupo active ali jire gister tu...Yy Twitter ndo pahala pakeUnaijua ID ya mumeo humu? Isijekuwa ni yeye
Yah mkuukumbe ulikuwa na majibu mkuu
TeyariiiiKaribu sana PM For more fun π