Msaada wa mawazo wakuu

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Hivi mabroo huku jukwaani naombeni mnipe msaada kwa sababu jamii forum ni kisima cha maarifa hivi mwanamke anakuambia mimi nipo tayari au muda wake sahihi wa kufunga ndoa ni mwishoni mwa mwaka kama mwezi wa kumi anamaanisha nini? Kwamba yeye mwanamke ndiyo anapanga kuolewa mwezi wa kumi na ananiambia hivyo sasa nimejiuliza nimeshindwa kupata jibu
 
Duuh
 
"Kamwe usiendekeze demokrasia katika mahusiano,utakuja lia"@be putinized.
 
Kwani wewe umepanga kuoa lini?

 
Ulimkuta bikra?
Au ndo anafunga biashara na ma ex zake, kufikia October asibaki nao deni!! Si ndio??
 
Uyo mwanamke ana mambo yake nyuma ya pazia za kuambiwa changanya na zako tafuta mwanamke ambae yupo committed ufanye nae maisha analeta siasa kwenye mapenzi
 
Kumbe ndio maana ndoa hazidumu
 
Mwambie kama haupo tayari natafuta mwengine aliyetayari, umskie!?. Huenda akabadili fikra kama hajabadili basi ujue hajawa tayari kuolewa.

Kuna watu kuolewa sio chaguo la kwanza.
 
Subili kupigwa na tukio,au mpige tukio wewe mapema ,itakuja kuniambia Tunza hii threads
 
Ana umri gan kwanza hebu Anza upya kumuangalia anakupangiaje wewe ndo mtoa mahal huyo hayupo tayar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…