Nyaubikra JF-Expert Member Joined Sep 21, 2019 Posts 1,339 Reaction score 3,319 Jan 6, 2025 #21 Poor Brain said: Kijana naona anambwela Click to expand... Me nikisema kesho naoa hata nikiwa sina suti ntavaa hata jeans nioe mana mda ni mchache. We hujaenda hata nchi kumi duniani then unamsikiliza mwanamke.
Poor Brain said: Kijana naona anambwela Click to expand... Me nikisema kesho naoa hata nikiwa sina suti ntavaa hata jeans nioe mana mda ni mchache. We hujaenda hata nchi kumi duniani then unamsikiliza mwanamke.
S Simon10 JF-Expert Member Joined Jun 19, 2024 Posts 607 Reaction score 1,981 Jan 6, 2025 #22 Atakumulia nani wa kuja kwako na nani asije, Nani umsalimie na nani umchunie Nani wa kumsaidia na nani wa kumpotezea Mwanaume umeumbwa kuongoza sio kupelekwa kama ling'ombe Wewe ni dhaifu sana
Atakumulia nani wa kuja kwako na nani asije, Nani umsalimie na nani umchunie Nani wa kumsaidia na nani wa kumpotezea Mwanaume umeumbwa kuongoza sio kupelekwa kama ling'ombe Wewe ni dhaifu sana
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 19,644 Reaction score 40,546 Jan 8, 2025 #23 Nyaubikra said: Me nikisema kesho naoa hata nikiwa sina suti ntavaa hata jeans nioe mana mda ni mchache. We hujaenda hata nchi kumi duniani then unamsikiliza mwanamke. Click to expand... Utumbo mtupu πππ
Nyaubikra said: Me nikisema kesho naoa hata nikiwa sina suti ntavaa hata jeans nioe mana mda ni mchache. We hujaenda hata nchi kumi duniani then unamsikiliza mwanamke. Click to expand... Utumbo mtupu πππ