ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
- Thread starter
- #21
nimekupata mkuu, ntayafanyia kazi mawazo yako!!!
Boss kumbuka ameota ma ra nyingi na kama kuna ambavyo vilitokea kuna ambavyo havija tokea. Aliota vibaya kuhusu huyo dada sababu tayari amesha fanya fixation about her. Ukweli ni kwamba mtu hawezi kumchukia mtu bila sababu. Kaa na mama yako umuulize tatizo ni nini na ni kitu gani aliona kufika kwenye hiyo conclusion (kwamba yuko na wewe kimaslahi zaidi). Based on that ndio umchunguze mpenzi wako.
But kabla hujaanza mwambie kwanza mpenzi wako kuhusu mtoto. Mtoto ni baraka, sio aibu.