msaada wa mawazo

nimekupata mkuu, ntayafanyia kazi mawazo yako!!!
 
amekutana naye siku moja tu mkuu! hiyo inatosha kumjudge mtu kweli?
 
sio ndugu yangu mkuu! Its just mama ana wasawasi kuwa hana true love!!!!!!
True love ya mpenzi wako, mama yako ataijuaje, wakati mwingine wazazi wanapotosha, hapo kwenye swala la mwenza hata usipomsikiza radhi haikupati, maana hata Mungu hapendi kulazimishana
 
Kiukweli mwana jamii unapaswa kuwa makin kuna wakati wazazi wanakuwa kuna jambo wanajua ambalo cc ha2jui. mi binafsi mke niliemuoa nilikuwa na urafiki nae muda usio pungua miaka9 na ukichanganya na ndoa inakuwa miaka11 lkn muda wamiaka 9 alipendeka na kupendeza ndani ya familia nilipo tangaza ndoa b.mkubwa hakutaka na kudai sio m2sahh wa kumuoa. but nililazimisha nikaoa ila sikufich ndani ya ndoa namuona kama m2 ambae ndio naonananae sasa nilioambiwa ndio yanajitokeza. so kwakuwa yamenikuta nakushauri umchunguze kwa kina huyo mdada na mwambie mama akupe usiri auonao yy na asikufiche ki2 ili maamuz yawe mikononi mwako. pole ndugu ndio dunia hiyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…