ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
Heshima yenu wakuu! wakuu naombeni msaada wa mawazo,nina mchumba wangu nipo naye kwa mwaka na nusu sasa,ni mwanafunzi wa chuo kikuu flani hapa tz,nilimtambulisha home but sijajitambulisha kwao but dada zake wote na ndugu zake wananifahamu kwa kukutana tu sehemu mbalimbali, tatizo mama yangu ameanza kuleta maneno ambayo siyaelewi akidai kwamba huyo msichana hanipendi na yuko na mimi ki maslahi zaidi,ameniambia nimchunguze sijaona tatizo lolote,sasa leo kaja na mpya kwamba ameoteshwa ndoto mbaya juu ya huyo msichana na amesema eti tufunge na kuomba week hii ili Mungu atupe jibu.
inavyoonekana hampendi huyu msichana but mimi sioni tatizo lolote na nampenda,issue nyingine nna mtoto nilimpata nikiwa chuo so ameniuliza je nilishamwambia nikamwambia no! mda bado ukifika nitamwambia akawa mkali.Binafsi sioni tatizo la huyu msichana kwani anawapenda sana hata ndugu zangu na anainipenda pia.Sisi ni wachaga na huyo msichana ni mwarusha. Je niwakati mwafaka wa kyumwambia msichana juu ya mtoto wangu? je huyu mama anataka nini na nifanye nini? nawakilisha!
inavyoonekana hampendi huyu msichana but mimi sioni tatizo lolote na nampenda,issue nyingine nna mtoto nilimpata nikiwa chuo so ameniuliza je nilishamwambia nikamwambia no! mda bado ukifika nitamwambia akawa mkali.Binafsi sioni tatizo la huyu msichana kwani anawapenda sana hata ndugu zangu na anainipenda pia.Sisi ni wachaga na huyo msichana ni mwarusha. Je niwakati mwafaka wa kyumwambia msichana juu ya mtoto wangu? je huyu mama anataka nini na nifanye nini? nawakilisha!