Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Kuna Yale matanki madogo ya mafuta ya taa ya Lita 2000 hayafukiwi chini yanawekwa juu tu kuna MTU anataka kuniuzia linakuwa na uzito gani kuna gari ya kubeba wanachaji kwa uzito
 
Na vipi kwa hawa masuper dealer unaweza ukawapa eneo wajenge kila kitu na wakate vibali af wewe uje upige kazi Kama agent?
Sina taarifa kamili......

Labda ufanye kazi za super dealer... Kwa mfano unapewa kituo ambacho kipo tayari,unakua unauza products zao tu.. Kama Puma,Total au Engen... na unakua unakula hela kwa commission kutokana na mauzo yako.... La sivyo ku operate kituo cha mafuta sio lelemama mkuu
 
Mnaosema kituo cha mafuta ni gharama ebu semeni gharama ipo sehemu gani.

Je pump?
Au ujenzi wa kisima chenyewe?
Au ujenzi wa lile la juu?
Au ni ununuzi wa mafuta ? Je ni gharam za usajili....wekeni wazi kipi gharama.

Kwa uelewa wangu pump za mafuta zipo hadi za 5m.ukikadiria pale chini sidhani kama panazidi 50m.sasa semen wapi ni gharana
Dah safi sana kunywa coca hapo kwa Mangi
 
Pump 2@15,000,000/=
Kiwanja 100,000,000/=
Ujenzi wa paa10,000,000/=
Mantank ya lita 100000 mawili @ 15,000,000/ kifupi haifiki milioni 200
Mkuu huu ujenzi wa paa ni jumla ya gharama zote (Yaani nondo, kokoto, siment nk)?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116]
Hao wa mikopo ndio hatuwataki, maana hau uchangia kufilisi biashara na kibaya zaidi wengine hadi wanafilisika hawalipi mafuta, mfano Scandinavian Express hadi snafilisika alikuwa na deni la mafuta la karibu Bilioni 2 kutoka PUMA (Zamani BP ), maana yake bilioni mbili iko nje ya mzunguko wa biashara na haitarudi,
Hapa ni Cashmoney ubaoni...
Ukimlea mteja sana anakuacha na hasara.
kwanza margin kwa litre ni ndogo halafu bado mtu aje alipe mwisho wa mwezi hiyo hapana mzeiyaah...
Don't entertain credit on business...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milioni 700 si wengi wangekuwa wanamiliki sheli,
Kujenga/building filling station ukiwa na 150m unaweza...

Kujenga service station, uwe na 350m and na kuendelea kulingana na services utakazotoa, ukubwa wa majengo, wingi na ukubwa wa matenki etc..

Kwenye kuendesha, hapo sijui, ila utahitaji not less than 200m kununa stock ya mwanza ya mafuta, mishahara, EWura permits na OSHA


Watu wanadanganyana sana hasa kwenye ujenzi, which is not as they say
 
Vipi Kama utauza petrol pekee, uwezi kuanza na hiyo mil 700?
Thats way too much money.. currently am building one for a client, yenye pump tatu.. kama uko serious inbox me your number and we talk..
 
Na vipi kwa hawa masuper dealer unaweza ukawapa eneo wajenge kila kitu na wakate vibali af wewe uje upige kazi Kama agent?
Total inajivua kwenye huu mfumo.. kwa sasa unajenga, mnaingia mkataba wa branding na product sales.. kituo chako kinakua na lebal ya total, na unausa products za total at a beneficial agreement..
 
Kujenga/building filling station ukiwa na 150m unaweza...

Kujenga service station, uwe na 350m and na kuendelea kulingana na services utakazotoa, ukubwa wa majengo, wingi na ukubwa wa matenki etc..

Kwenye kuendesha, hapo sijui, ila utahitaji not less than 200m kununa stock ya mwanza ya mafuta, mishahara, EWura permits na OSHA


Watu wanadanganyana sana hasa kwenye ujenzi, which is not as they say
Asante mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza share picha na baadhi ya madini hapo na sisi sote kwanza mkuu coz wenye uhitaji ni wengi sio Mimi peke angu
Thats way too much money.. currently am building one for a client, yenye pump tatu.. kama uko serious inbox me your number and we talk..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari waungwana.

Naomba kujua hatua za mwanzo jinsi ya kuanzisha kituo cha mafuta, gharama na utaratibu wote kuanzia namna ya kupata matenki pamoja na mashine zake.

Na ni wapi naweza kupata vifaa hivyo hasa kati ya Mwanza ama Dar, na kama kuna utofauti wowote wa kuanzisha kituo kidogo ama kikubwa.

Naomba kuwasilisha.
Nashauri uonane na watu wa TOTAL au ORYX... inbox for more
 
Back
Top Bottom