Msaada wa mfano wa business proposa

Joined
Nov 11, 2016
Posts
12
Reaction score
8
Habari! Naomba msaada wa mfano wa business proposal ili inisaidie niandae wa biashara yangu wakuu
 
hiyo business proposal ni biashara ya watu tupe deal tufanye vinginevyo google
 
Ielezee bhiashara unayotaka kufanya kwenye nyanja zifuatazo:-
  1. A problem statement (Haya ni maelezo mafupi kuhusu changamoto unayotaka kufanyia kazi)
  2. A proposed solution (Haya ni maelezo mafupi kuhusu suluhisho la changamoto hiyo)

  3. A pricing estimate* (Haya ni makisio ya gharama kwa ajili ya kupambana na changamoto hiyo) Kwa ufupi ndo hiyo.
 
Shukrani sana mheshimiwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…