Msaada wa mkopo Tsh. 25,000

Msaada wa mkopo Tsh. 25,000

Habari za jioni wakuu. Nakuja kwenu muda huu nina shida sana na shilingi elfu ishirini na Tano.
Naomba yeyote anayeweza kunipatia kiasi hicho kama mkopo wa wiki moja.
Asanteni🙏
Kwanza ungeandika vizuri na kuweka namba ungepata hiyo hela bila kukopa hapahapa JF.

Acha uoga, ukiwa na shida funguka.
 
Leo nyuzi za kuomba mikopo zimetaratadiiii🤣🤣🤣🤣
Asubuhi mkopo wa milioni 1
Mchana wa laki 3
Jioni elfu 25
Sijui usiku itakuaje
 
Back
Top Bottom