Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umesoma nao kajitibu basi kama huwaelewi elewi hahaha wabongo ss wajuaji saana doohSiwabezi ila nimesema baadhi na usidhan ni miungu watu baadhi tunesoma nao baadhi tunashinda nao kwnye site zetu weupe elewa hivyo hutak acha
KAMA SI BINGWA WA MASIKIO KUNA HAJA YA KUMPELEKA MTOTO HOSPITALI TENA NA KUMUONA DR. WA TATIZO HUSIKAAlitibiwa na Dr Bingwa Wa Watoto ambae hufanya kazi Muhimbili......
Ni kweli haswa madaktari vijana wanadhani unawadharau ukimuuliza maswali.Nitamshauri kila mtu hivyo! Huwezi kujua mara ngapi watu wamepona kwa kuhakikisha wanapata dawa sahihi! Sasa hivi ukienda hospital doctors wanakupa dawa kama pipi ukienda kwenye nyumba za watu utafikiri kila mtu ana pharmacy nyumbani kwake! Pathetic! Na nime notice doctors wengi wa bongo wana kuwa offended ukimuuliza maswali!
Dada, ni wewe kweli? Naona wamekutibua kweli kweli. Pole!View attachment 493069
Imbecile wewe soma post zangu ili uweze kunielewa sio kuparamia tu, pathetic idiot go to hell, you piece of sh***t. Kiapo gani wanakula kila siku migomo watu wanakufa! Soma post zangu, ujue nina ongelea nini, kama utanielewa idiot
Inasikitisha walahiNi kweli haswa madaktari vijana wanadhani unawadharau ukimuuliza maswali.
Hahahaha JF shule! Mara nyingine inabidi uvue ustaarabu kukabiliana na mijitu mingine! Hahahaha... aisee long time, upo?Dada, ni wewe kweli? Naona wamekutibua kweli kweli. Pole!
Pole sana, kimbilia hospital haraka sana, alafu kuwa na simu yako mkononi dawa yeyote ata kayo andikiwa google ili uhakikishe matumizi yake na side effect yake! Na ugonjwa atakao ambiwa google , madaktari wa sasa ni biashara mbele! Mola akutangulie!
kama hujui jinsi ya kutumia google kwenye hizi issue basi usimkosoe huyu jamaa, myself google ni advisor mzuri sanaAre u medical personnel ??? Kama ni personnel pole kama siyo basi usimshauri mtu tena hvyo ndugu yangu!
Amen Rakama hujui jinsi ya kutumia google kwenye hizi issue basi usimkosoe huyu jamaa, myself google ni advisor mzuri sana
United state pharmacopoeia ni kitabu kilichotumika kutengeneza formula ya dawa husika mkuu,hivyo lazima kiandikwe ili kui identify dawaHaraka haraka pia naona daktari aliemuona mwanzo alipanic, naona midawa kampa mikali sana kuliko hata complain ya mwanzo , hizi hispital za binafsi wanatumia kutojua kwetu kutuandikia midawa aghali bure,,,,, dawa za United state pharmacopia za nini
That is the fact.Mkuu nendeni hospitali yenye labolatory mtoto apimwe damu ili ijulikane aina ya bacteria wanamsumbua. Mpe paracetamol kushusha joto pia mvalishe nguo nyepesi.
Mbona na wewe kama ume"panic" midawa mikali mikali kivipi?au ulitarajia atibiwe vipi? Kama wadau wengine walivyo mshauri arudi tena hospital, kutumia dawa Fulani haizuii mgonjwa kupata maradhi mapya.Tatizo analolieleza mwenzetu ni shida ya vipele au kuvimba vimba ndiyo shida kubwa mpya,kama itakuwa ni "chicken pox" kwa mfano haiponyeshwi na hizo antibiotic, madawa yake ni kama Calamine lotion au acyclovir.Daktari alitoa dawa nzuri tu.Haraka haraka pia naona daktari aliemuona mwanzo alipanic, naona midawa kampa mikali sana kuliko hata complain ya mwanzo , hizi hispital za binafsi wanatumia kutojua kwetu kutuandikia midawa aghali bure,,,,, dawa za United state pharmacopia za nini
Anatumia hisia zake.Are u medical personnel ??? Kama ni personnel pole kama siyo basi usimshauri mtu tena hvyo ndugu yangu!
Edit maneno yako bossMfanyie tapid sponging on your way to hospital, yn chovya sponge au kitambi kwenye maji kisha muekee kwenye komo, kwapani na tumboni wakati huo uwe umeshampa PCM susp.. au tabs. Pole sana I feel your pains,
Tumia simple words ,mfano DX mie na ubashite wangu nimekwama.ISIS Sasa ndugu daktari anapomtibu mtu anamtibu kulingana na clinical dx mfano tu mzuri....mgonjwa kaenda hospital anaumwa bega la kulia na blood pressure kwenye huo mkono is very high basi daktari akakupa dawa lets say A...ww kwa kutaka kuipeleleza uka-google kama unavyosema bac google ikakuletea taarifa kwamba dawa A inatibu moyo sasa ww kwasababu unabishana na reality unasema daktari kanipa dawa isiyo sahihi naumwa bega la kulia kanipa dawa A ya moyo wali na wapi basi unamshukuru Google unaenda duka la dawa unamwambia na kwasababu yuko kibiashara anakupa dawa B ya kutuliza maumivu na unaenda nyumbani swadakta kabsa huku ukiwaeleza watu namna daktari asivyokuwa na uweledi....oohh poor patient after a year unakua IPD ukihangaika ugonjwa wa moyo umekua chronic na hautibiki tena kwasababu hukutaka kuwa kama mgonjwa bali mtahini wa daktari...change brother medicine is broad only expert ndie ni mtu sahihi unapokua mgonjwa ndo maana hata daktari akiugua anatibiwa na daktari...ndugu tafadhali kubali hata kidogo kubadili misimamo hatarishi..