Msaada wa namna ya kuweka zuio la shambulio ( restraining order )

Msaada wa namna ya kuweka zuio la shambulio ( restraining order )

Naomba kabla sijachangia niruhusu nikurekebishe matumizi sahihi ya maneno

Hapo ulipoweka neno Consistently ilitakiwa kukaa neno Constantly. Naomba urekebishe.

Hapo ulipoweka neno stocking ilitakiwa likae nano Stalking.

Haya maneno kimatamshi yanasound the same ila yanamatumizi tofauti .

Ahsante sana kwa marekebisho mazuri especially kwenye spelling za stalking.. it was my bad

But consistently iko sahihi kabisa mkuu, According to Cambridge dictionary, consistently means marked by harmony, regularity or steady continuity.. Hivyo neno hilo limetumika sehemu sahihi kabisa[emoji41].. Anyways, ahsante tena kwa kunirekebisha spelling za neno stalking [emoji1431]
 
Kwa maoni yangu nashauri huyu rafiki yako amekurupuka sana kuanzisha mahusiano mapya huku akiwa bado yupo katika complicated relationship na huyu baba mtoto wake.

Hili ni jambo muhimu sana kuzingatia unapoanza uhusiano na binti, ni vema sana kujua alipotoka kimahusiano na alimalizana vipi na mtu aliyekuwa uhusiano wa mwisho.

Kuna mtu anamuacha mwenzake kimya kimya bila mazungumzo, majadiliano wala kumalizana kokote yaani akili za kitoto kabisa.

Matokeo yake anaanzisha mahusiano na mtu mpya ambaye anaingia na kukutana na mifarakano isiyo na mbele wala nyuma ambayo inavuruga hata amani ya uhusiano mpya.

Huyo ni mtu ambaye amepata nae mtoto. Anaweza kuwa ni mkorofi au wameshindwana ila alitakiwa wakae chini na watu wazima kisha wayamalize na kukubaliana juu ya malezi ya mtoto na namna watashirikiana.

Hizi ndio shida za kuvutana magetoni na kunyanduana kizembe kisha ujauzito juu mnaaza kuvurugana baadae sababu hamkwenda kiutaratibu na kwa kufuata misingi na taratibu zinazotakiwa kijamii kuishi pamoja.

Mwambie rafiki yako kabla hajaenda polisi akumbuke huyo anaekwenda mchukulia restraining order ni baba wa mtoto wake.

Pengine huyo mwanaume bado anamhitaji na sababu anamfanyia fujo ni hofu ya kutojua yeye, rafiki yako na mwanae wanakwenda wapi na kuishi na nani. Ni vema akamtafuta akiwa na wazee wakae wayazungumze na aeleweshwe ili yasijekutokea mengine.

Na nyie watoto wa kike siku hizi mna mambo ya kibwege sana kulala na mtu hujui hata familia na historia yake ipoje. Wengine ni vichaa wa akili huwa vinalala tu na kuibuka kipindi fulani fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mzee umeshusha nondo nzuri, nitajaribu kumuelewesha huyu binti kwa muktadha huo uliousema.
 
Ushauri mzuri though umejaribu kuwa nabii au sheikh yahya kwa kutengeneza scenario ambayo haipo hivyo.. mimi sijaoa huyu binti, she is muu friend kama nilivyoeleza chief. Ingekua mke au something of the sort ningekuwa nishalivalia njuga mwenyewe
Hao wamesha pata Mtoto pamoja wamesha kua ndugu,ni jukumu lako Kama rafiki jaribu kuwaunganisha ili Mtoto apate malezi ya pande zote mbili! Usiwe msitari wa mbele kuwatenganisha!!
 
Back
Top Bottom