sodya
Member
- Jul 15, 2017
- 60
- 19
Ndugu wana Jf habari zenu!?
Ndugu nahitaji ninunue pikipiki kwa matumizi binafisi hasa kwa kuendea kazini... Madhingira sio lafiki sana yaani Barabara sio nzuri na ni ya vumbi na vijilma vidogo vidogo....
Naombeni ushauri ni nunue piki piki ya aina gani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu nahitaji ninunue pikipiki kwa matumizi binafisi hasa kwa kuendea kazini... Madhingira sio lafiki sana yaani Barabara sio nzuri na ni ya vumbi na vijilma vidogo vidogo....
Naombeni ushauri ni nunue piki piki ya aina gani!!
Sent using Jamii Forums mobile app