Msaada wa pikipiki nzuri

Msaada wa pikipiki nzuri

sodya

Member
Joined
Jul 15, 2017
Posts
60
Reaction score
19
Ndugu wana Jf habari zenu!?

Ndugu nahitaji ninunue pikipiki kwa matumizi binafisi hasa kwa kuendea kazini... Madhingira sio lafiki sana yaani Barabara sio nzuri na ni ya vumbi na vijilma vidogo vidogo....

Naombeni ushauri ni nunue piki piki ya aina gani!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii hapa TOYO XL 125
9b8fa5619ad000611d093ce54dc2639b.jpg


Ngw'ana Kabula
 
Ndugu wana Jf habari zenu!?

Ndugu nahitaji ninunue pikipiki kwa matumizi binafisi hasa kwa kuendea kazini... Madhingira sio lafiki sana yaani Barabara sio nzuri na ni ya vumbi na vijilma vidogo vidogo....

Naombeni ushauri ni nunue piki piki ya aina gani!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na bajeti yako, unashilingi ngapi? Lakini nijuavyo kwa barabara ambayo siyo rafiki na ya vumbi, pikipiki nzuri inatakiwa iwe sport motorcycle . na siyo boxer au TVS.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TVS ni machine nzuri ila vipuri vyake bei juu na havijachakachuliwa na mchina...very good fuel consuption 68+km per litre

kweli hukuweka huru
 
Kwa matumizi binafsi ukizingatia bajeti yako chagua kati ya hizi
Boxer BM 150
Hero Honda
TVS au
Boxer 100
Hizo hazina mtetemo na imara sana pia fuel consumption yake ya kawaida kwa wastani 1ltr /km 60-65 ila mchina yoyote utakayochukua consumption ya mafuta iko juu 1ltr /40-45 pia ni mazito na yanatetemeka ukiwa kasi ktk gia ya mwisho unafika mapaja yanauma sababu ya mtetemo...hizo za kihindi hata muungurumo wake uko very well tuned hazina unnecessary noise kama Chinese made!...kila la kheri


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom