Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
- Thread starter
- #61
Sawa soma hizo sehemu nne huku haipiti siku yani ni bampa tu bampaaaUni tag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa soma hizo sehemu nne huku haipiti siku yani ni bampa tu bampaaaUni tag
Ndio nashuka nayo hapa, shukrani sanaSawa soma hizo sehemu nne huku haipiti siku yani ni bampa tu bampaaa
Binadamu Mtakatifu ana ufalaa mwingi sikai mbali na thread zake
Ufala upi tina bwasheeeBinadamu Mtakatifu ana ufalaa mwingi sikai mbali na thread zake
Nani shemeji yako Unatak kumuharibu dada yangu😃Ufala upi tina bwasheee
Shekh mimi napita font mambo ya mlango wa nyuma namwachia Johnnie WalkerNani shemeji yako Unatak kumuharibu dada yangu😃
usiache kunitag pia naifatilia pia nimeipenda
Mimi pia najitoa hapo namwachia Mzee wa kupambaniaShekh mimi napita font mambo ya mlango wa nyuma namwachia Johnnie Walker
Kwann?Battle ya nani atarusha mbali 🤣🤣🤣🤣 mkuu heshima yako
Ucjalusiache kunitag pia naifatilia pia nimeipenda
Story mwanzo sio tamu utamu upo mwishoniAt least not boring.
😂😂😂 Niliona hata hamlaike nisijekuwa najiandikia mwenyeweSiku nzima hujarush episode umepata umaarufu kidogi ushaanza kutusumbua
View attachment 2595684
Unajua all day nasubiri mwendelezo Mpaka md huu unazingua sana jombaa. Why ? why?😂😂😂 Niliona hata hamlaike nisijekuwa najiandikia mwenyewe
Wacha nilale wifi yako kashanijaza blahblah kbao kichwa kinaumaUnajua all day nasubiri mwendelezo Mpaka md huu unazingua sana jombaa. Why ? why?
View attachment 2595687
Mapenzi na shule Fala wewe ndio maana unarudia mwaka wa pili tena😀 😀Wacha nilale wifi yako kashanijaza blahblah kbao kichwa kinauma