kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,313
- 7,714
Wana J-f
Poleni na majukumu,nina mdogo wangu wa kike alipata ajali na kukatwa mguu mmoja juu ya goti.Ajali ni kwamba alikuwa kituo cha daladala gari la mtu binafsi likapoteza muelekeo na kumgonga,matokeo yake hospitali hatimaye mguu ukakatwa.Yote tumemshukuru Mungu.Tulihangaika kumtibu na sasa anaendelea vizuri tu psycologically.
Tumefuatilia insurance na mawakili mbalimbali wamefuatilia lakini matokeo ni kwamba anatakiwa alipwe tu milioni 8.Sisemi malipo yoyote yale yanaweza kuurudisha mguu wake lakini nadhani kuna mambo nyuma ya pazia na hawa mawakili.Nadhan mguu wa bandia its more than 20m,mbona haya malipo hayaendani na madhara ambayo yametokea?au insurance haiangalii vitu hivyo wakati wa malipo?Hatuna uwezo wa kulipa wakili tena ila naomba kama kuna mwanasheria anifafanulie utaratibu na pia ikiwezekana atusimamie na malipo yawe baada ya kesi kuisha.Yeyote anaweza kuchangia lakini katika hili sihitaji masikhara kwa maumivu tuliyonayo.ukiona huna cha kuchangia kuliko kuniudhi nakuomba nisamehe tu pita.
Poleni na majukumu,nina mdogo wangu wa kike alipata ajali na kukatwa mguu mmoja juu ya goti.Ajali ni kwamba alikuwa kituo cha daladala gari la mtu binafsi likapoteza muelekeo na kumgonga,matokeo yake hospitali hatimaye mguu ukakatwa.Yote tumemshukuru Mungu.Tulihangaika kumtibu na sasa anaendelea vizuri tu psycologically.
Tumefuatilia insurance na mawakili mbalimbali wamefuatilia lakini matokeo ni kwamba anatakiwa alipwe tu milioni 8.Sisemi malipo yoyote yale yanaweza kuurudisha mguu wake lakini nadhani kuna mambo nyuma ya pazia na hawa mawakili.Nadhan mguu wa bandia its more than 20m,mbona haya malipo hayaendani na madhara ambayo yametokea?au insurance haiangalii vitu hivyo wakati wa malipo?Hatuna uwezo wa kulipa wakili tena ila naomba kama kuna mwanasheria anifafanulie utaratibu na pia ikiwezekana atusimamie na malipo yawe baada ya kesi kuisha.Yeyote anaweza kuchangia lakini katika hili sihitaji masikhara kwa maumivu tuliyonayo.ukiona huna cha kuchangia kuliko kuniudhi nakuomba nisamehe tu pita.