Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Alinipa title wakati napresent na yy akawa anachangia kunitetea nikiulizwa swali gumu na yy anaelezea kidogo.... changamoto inakuaga kupitisha title kwenye kufanya coding sio shidaAlikusaidia vipi kaka ?
Mda mwingine sisi nae tunakariri wote tunafanya xxxxxxxxxx information systems, Kuna majamaa walitengeza animation zao hata hawakuulizwa maswali mengimara nyingi malecturer wanataka ile wow factor
wanataka wasikie kitu flani cha ajabu ajabu kinachoshangaza
hizo management system na lost and found zinafanywa sana.
Title ilikuwa.na idea ipi?Alinipa title wakati napresent na yy akawa anachangia kunitetea nikiulizwa swali gumu na yy anaelezea kidogo.... changamoto inakuaga kupitisha title kwenye kufanya coding sio shida
ππ mda wa kuwa humbleAkupe anayotaka yeye sasaπ
Napata. Mashaka na ufaulu wa sasa ?.Hii mada sasa naona inaanza kuwa ushaidi.Wadau naomba mnisaidie title ya computer science iwe ya web based nilizofikiria zote instructor amezikataaa
Ndio manAlinipa title wakati napresent na yy akawa anachangia kunitetea nikiulizwa swali gumu na yy anaelezea kidogo.... changamoto inakuaga kupitisha title kwenye kufanya coding sio shida
Unalevel gan ya elimu?Napata. Mashaka na ufaulu wa sasa ?.Hii mada sasa naona inaanza kuwa ushaidi
Jitahidi tittle ipite kabla semester ya kwanza haijaisha, ili likizo ufanye coding taratibu semester ya pili unakua unafanya presentation ya progressNdio man
Basi wanajikutaga balaa, kujinunisha sasa πππ mda wa kuwa humble
Ya kulipa Kodi ili wanao waishi kwa msaada wa ccmUnalevel gan ya elimu?
Ndio hivo , vip una idea?Basi wanajikutaga balaa, kujinunisha sasa π
ππ mzee semister imekata ndio tupo likizo na title sina.Jitahidi tittle ipite kabla semester ya kwanza haijaisha, ili likizo ufanye coding taratibu semester ya pili unakua unafanya presentation ya progress
semester tayari hawa ni wale kenge kwenye msafara wa mamba.Jitahidi tittle ipite kabla semester ya kwanza haijaisha, ili likizo ufanye coding taratibu semester ya pili unakua unafanya presentation ya progress
Mimi ni HKL ππNdio hivo , vip una idea?
We jamaa πsemester tayari hawa ni wale kenge kwenye msafara wa mamba.
Huko ndio idea zipo , nipo nondooMimi ni HKL ππ
Of course unachosema ila yeye ndio anazitaka za namna hiyo so by the way iyo innovation uifanye kwenye web based system.Sisi ma Lecturer tunahitaji innovation. Hizo plain titles za web baded magement system zimepitwa na wakat.
Weka innovation uone kama itakataliwa.