Msaada wa ufafanuzi wa uhamisho kutoka Halmshauri kwenda Mamlaka ya Bandari

Msaada wa ufafanuzi wa uhamisho kutoka Halmshauri kwenda Mamlaka ya Bandari

Anganjwiri92

Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
30
Reaction score
44
Habari wana JF,

Pasipo kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumishi kwenye Halmshauri X, nimeajiriwa kama afisa mtendaji, ila kwa bahati mzuri nina diploma ya shipping and port operation management pale Bandari College sasa lengo langu nihamie tpa vipi utaratibu upoje? Nini nikifanye niweze hamia tpa?

Asante!
 
Kuhamia bandari ni kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Inawezekana ila kwa % ndogo.
Kwanza hapo lazima ujue kuwa kada uliyopo na unayokwenda kituo B ni tofauti, hivyo mchakato wako wa kuhama una mizunguko.
La pili kama umeajiriwa kwa degree na sasa una diploma hapo umefeli tayari.
Ushauri: Omba ajira mpya zikitangazwa then ukishinda usaili njoo tukupe mbinu rahisi ya kwenda sehemu B.
Ukihamia kwa njia ya mkato( utumishi direct bila kupata baraka za afisa wa TPA) kuna possibility ya kurudishwa ulikotoka
 
Kuhamia bandari ni kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Inawezekana ila kwa % ndogo.
Kwanza hapo lazima ujue kuwa kada uliyopo na unayokwenda kituo B ni tofauti, hivyo mchakato wako wa kuhama una mizunguko.
La pili kama umeajiriwa kwa degree na sasa una diploma hapo umefeli tayari.
Ushauri: Omba ajira mpya zikitangazwa then ukishinda usaili njoo tukupe mbinu rahisi ya kwenda sehemu B.
Ukihamia kwa njia ya mkato( utumishi direct bila kupata baraka za afisa wa TPA) kuna possibility ya kurudishwa ulikotoka
eb tupe madini ndugu yang hapo
 
Ishi na watu vizuri mkuu hata ukitaka kuhamia ikulu inawezekana boss wangu. Ongea na wakubwa
 
Hongera sana mkuu.

Fuata Hatua zote utaajiriwa TPA.

Kikubwa ni GPA yako.
Connection.
RUSHWA nk.
Maombi/ ulozi.

.Hakuna lisilowezekana kwa Mungu
Hahaaa yani umeiweka shilingi pande zote mbili achague atapoona panamfaa au siyo? [emoji23]
 
Habari wana JF,

Pasipo kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumishi kwenye Halmshauri X, nimeajiriwa kama afisa mtendaji, ila kwa bahati mzuri nina diploma ya shipping and port operation management pale Bandari College sasa lengo langu nihamie tpa vipi utaratibu upoje? Nini nikifanye niweze hamia tpa?

Asante!
Mkuu nje ya mada kidogo hivi bandari college ni sawa na dmi

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nje ya mada kidogo hivi bandari college ni sawa na dmi

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Hapana, Bandari College ni chuo kilichopo chini ya TPA na wanafundisha watumishi wa TPA na raia kuhusu kozi za operations za bandari, wakati Dar es salaam Maritime Institute (DMI) au Chuo cha Bahari kinafundisha kozi za unahodha wa meli, matengenezo ya meli na pia management ya operations za bandari.
 
Back
Top Bottom