KasomaJr
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 367
- 141
Habari wana JF,
Nakuja mbele zenu kuomba ushauri kwenu, ushauri wenu uzingatie mambo yafuatayo.
CAPITAL/LOAN:
Nimeamua kuchukua Loan ya 30M bank flani na nyumba yangu nimeamua kuweka rehani kabisaaa kwa kujua kabisa kama sitaweza kulipa nyumba yangu itachukuliwa, nimefanya hivyo kwa kuzingatia return nayoipata kwenye yumba hiyo ni kidogo sana, 150,000/= per month, a 3 bedroom, one ni master, ina kitchen na sitting room, ipo eneo ambalo ni potential sana na ina kiwanja kikubwa kwa maana ya kwamba hiyo ni nyumba ya uani, mbele kuna kiwanja kikubwa cha kuweza kujenga hata ghorofa/hotel yenye uwezo wa kuwa na rooms 15-20.
INTEREST/DREAM/CALLING
Ukweli wa moyo wangu naamini kabisa katika kilimo ingawa nimewahi kufanya attempt moja amabyo haikufanikiwa katika kilimo ya matikiti maji huko Manyara, lakini najua kabisa tatizo ilikuwa usimamizi mzuri (kwani vijana niliowaweka hawakuwa serious na kazi na mimi nilikuwa kwenye michakato ya kwenda nje kikazi, hivyo muda mwingi nikautumia kufuatilia visa na nk). Hivyo katika suala hili nataka kujua ni kilimo gani kinaweza kunipa return haraka na ni risk free ili kuweza kuanza kulipa loan.
Hivyo basi naomba ushauri kwa kuzingatia haya yafuatayo pia;
1. Kuanzisha green house nyumbani kwangu kwakua bado nina eneo la kuweza ku-accomodate
2. Kununua shamba maeneo ya Mwasonga kiasi cha ekari 2 kwa ajili ya shughuri za ufugaji kuku wa kienyeji, samaki hata bwawa moja, greenhouse na kilimo cha matikiti maji
Hapa nitaomba uzoefu wa gharama kama za kuchimba kisima, fensing ya wire na vitu vingine muhimu.
BIASHARA YA STATINARIES/INTERNET CAFE
Nimewaza kufanya biasha hii na nimeifanyia utafiti kwa kiasi flani, nilitaka kuweka internet cafe maeneo ya Ferry kigamboni lakini ambayo ingekuwa modern kidogo, na capita investment ilikwenda karibu 12M lakini nikifanya analysisi ya return naona kama ni ndogo sana ukilinganisha na capital investment. Hivyo naomba ushauri kwenye eneo hili kwa mutu amabe anao uzoefu wa kutoksha. Kwenye eneo hili business mix yangu ilikuwa ni pamoja na
1. Printing
2. Photocopying
3. M-PESA/Tigo Pesa/ Airtel Money
4. Air ticketing
5. Kuatafuta kazi za nje za printing/ supply ya stationaries
6. Internet cafe ambayo itakuwa na wireless lakini ikiwa controlled na mambo ya downloads na time
Si kuwa na mpango wa kuweka stationaries nyingi hata kidogo
BIASHARA YA USAFIRISHAJI/ NA MAZAO
Nimepewa ushauri kwamba biashara ya chakula inalipa sana, yaani kuuza unga, maharage, sukari, mafuta nk...na hii wife yeye anai support ingawa moyo wangu haunipi hata kidogo, na katika hili tulipaswa tununue hata carry au Noah kwa ajili ya kusambaza mizigo kwa wateja lakini wakati huo huo gari itumike kibishara kwa maana kwamba kama ni Carry basi itaweza kufanya shughuli za kubeba mizigo ya wateja nje ya biashara yetu, na kama ni Noah basi iwe mult-pupose kwa maana ya kwamba itatumika kwa biashara yetu na familia pia.
Jamani am confused, nahitaji msaada wenu kwa kujua na kuzingatia JF ni kisima cha maarifa, kimejaa watu makini, weledi na wenye uzoefu mkubwa kabisa katika maisha haya.
Asanteni na mungu awabariki sana.
Nakuja mbele zenu kuomba ushauri kwenu, ushauri wenu uzingatie mambo yafuatayo.
CAPITAL/LOAN:
Nimeamua kuchukua Loan ya 30M bank flani na nyumba yangu nimeamua kuweka rehani kabisaaa kwa kujua kabisa kama sitaweza kulipa nyumba yangu itachukuliwa, nimefanya hivyo kwa kuzingatia return nayoipata kwenye yumba hiyo ni kidogo sana, 150,000/= per month, a 3 bedroom, one ni master, ina kitchen na sitting room, ipo eneo ambalo ni potential sana na ina kiwanja kikubwa kwa maana ya kwamba hiyo ni nyumba ya uani, mbele kuna kiwanja kikubwa cha kuweza kujenga hata ghorofa/hotel yenye uwezo wa kuwa na rooms 15-20.
INTEREST/DREAM/CALLING
Ukweli wa moyo wangu naamini kabisa katika kilimo ingawa nimewahi kufanya attempt moja amabyo haikufanikiwa katika kilimo ya matikiti maji huko Manyara, lakini najua kabisa tatizo ilikuwa usimamizi mzuri (kwani vijana niliowaweka hawakuwa serious na kazi na mimi nilikuwa kwenye michakato ya kwenda nje kikazi, hivyo muda mwingi nikautumia kufuatilia visa na nk). Hivyo katika suala hili nataka kujua ni kilimo gani kinaweza kunipa return haraka na ni risk free ili kuweza kuanza kulipa loan.
Hivyo basi naomba ushauri kwa kuzingatia haya yafuatayo pia;
1. Kuanzisha green house nyumbani kwangu kwakua bado nina eneo la kuweza ku-accomodate
2. Kununua shamba maeneo ya Mwasonga kiasi cha ekari 2 kwa ajili ya shughuri za ufugaji kuku wa kienyeji, samaki hata bwawa moja, greenhouse na kilimo cha matikiti maji
Hapa nitaomba uzoefu wa gharama kama za kuchimba kisima, fensing ya wire na vitu vingine muhimu.
BIASHARA YA STATINARIES/INTERNET CAFE
Nimewaza kufanya biasha hii na nimeifanyia utafiti kwa kiasi flani, nilitaka kuweka internet cafe maeneo ya Ferry kigamboni lakini ambayo ingekuwa modern kidogo, na capita investment ilikwenda karibu 12M lakini nikifanya analysisi ya return naona kama ni ndogo sana ukilinganisha na capital investment. Hivyo naomba ushauri kwenye eneo hili kwa mutu amabe anao uzoefu wa kutoksha. Kwenye eneo hili business mix yangu ilikuwa ni pamoja na
1. Printing
2. Photocopying
3. M-PESA/Tigo Pesa/ Airtel Money
4. Air ticketing
5. Kuatafuta kazi za nje za printing/ supply ya stationaries
6. Internet cafe ambayo itakuwa na wireless lakini ikiwa controlled na mambo ya downloads na time
Si kuwa na mpango wa kuweka stationaries nyingi hata kidogo
BIASHARA YA USAFIRISHAJI/ NA MAZAO
Nimepewa ushauri kwamba biashara ya chakula inalipa sana, yaani kuuza unga, maharage, sukari, mafuta nk...na hii wife yeye anai support ingawa moyo wangu haunipi hata kidogo, na katika hili tulipaswa tununue hata carry au Noah kwa ajili ya kusambaza mizigo kwa wateja lakini wakati huo huo gari itumike kibishara kwa maana kwamba kama ni Carry basi itaweza kufanya shughuli za kubeba mizigo ya wateja nje ya biashara yetu, na kama ni Noah basi iwe mult-pupose kwa maana ya kwamba itatumika kwa biashara yetu na familia pia.
Jamani am confused, nahitaji msaada wenu kwa kujua na kuzingatia JF ni kisima cha maarifa, kimejaa watu makini, weledi na wenye uzoefu mkubwa kabisa katika maisha haya.
Asanteni na mungu awabariki sana.