Msaada wa ushauri biashara gani hasa nifanye kwa 30m capital

Msaada wa ushauri biashara gani hasa nifanye kwa 30m capital

Kijana kuna uzi nimeuweka unahusu biashara ya viatu vya mtumba vya kike na kiume kutoka jamhuri ya korea

viatu tunauza kwa bero na vinakuwa mchangayiko kama vile open shoes simple viatu vya mpira boot vya ofisi raba n.k

bei zetu ni kama ifuatavyo.

vya wanaume sh. 220000 kwa bero moja na inapungua kutegemeana na idadi ya bero za mteja

vya kike 130,000 na inapungua kulingana na idadi ya bero anazochukua mteja


NB. bero moja la viatu vya kiume lina wastani wa viatu pair 55 hadi 60 Kwa kawaida 60
vya kike pair 80 hadi 90

PIGA SIMU NAMBA 0758176058 kwa maelezo zaidi na jinsi ya kuweka oda ya mzigo. Pia inapatikana kwa watsap

Viatu ni vya ubora wa hali ya juu na vinaenda na wakati na vingi vinakuja vikiwa kama vipya kwa maana havijatumika sana

TUNAPATIKANA CHANG'OMBE DAR.


KARIBU SANA NA HUWEZI JUTA......
 
Kaka KILIMO hapo ndo penyewe. Naomba nikumbushe nikupe mchanganuo. Kwa ajili ya mwakani. Mimi pia nategemea kulima 200 hekas za ufuta. Vuli hii nimelima mhogo heka za kutosha. Karibu tena hujakosea kuusu kilimo na kitakutoa. Mimi nalima Tanga- handeni.
 

Attachments

  • 1415223690601.jpg
    1415223690601.jpg
    189.5 KB · Views: 249
  • 1415223776197.jpg
    1415223776197.jpg
    115.5 KB · Views: 229
Huu Uzi naufuatilia, maujanja ya kumwaga yapo hapa!
 
Kaka KILIMO hapo ndo penyewe. Naomba nikumbushe nikupe mchanganuo. Kwa ajili ya mwakani. Mimi pia nategemea kulima 200 hekas za ufuta. Vuli hii nimelima mhogo heka za kutosha. Karibu tena hujakosea kuusu kilimo na kitakutoa. Mimi nalima Tanga- handeni.

mkuu unajishughulisha na kilimo tu??? maana kilimo cha ufuta sio mchezo
 
Pdidy: Umeanza Kwa style ambayo siyo safi sana mkuu, biashara ya mihadarati hapana hiyo Si ungi mkono Kwa namna yoyote ile, ila hapa kwenye issue ya biashara ya nyama ya Mbuzi na vitunguu tunaweza kuongea na Kwa hakika naomba niku PM kuweza ku exchange idea na kuwa na live conversation juu ya hilo ni muhimu sana na ninaomba unipe ushirikiano. Asante sana.

kaka binafsi napenda the way unavyojibu watu kwmba majibu sio mazuri kwa baadhi ya wachangiaji lakin unaonyesha kuto panic, hii ndyo busara na hekima . good na kweli utafanikiwa
 
mkuu unajishughulisha na kilimo tu??? maana kilimo cha ufuta sio mchezo

Unajua kuna tofauti ya kusikia na kufanya. Ulilima heka ngp ukajua sio mchezo. Acha kutishia watu na kudanganya watu. Hii tabia naikemea kbsa na ni tabia ya wanadamu akiona hawezi kitu
1.atakukatisha tamaa ili muwe sawa.
2.atatafuta sababu ya kutokufanya badala ya kufanya
3. Alafu wengi wanapenda maneno ya kusikia, wengi wanapenda analysis za risk badala ya faida.
4. Wengi hawajiamini na waoga.
*Nani kawambia kilimo kinalimwa kwa mdomo?
*Nani kawambia kilimo kinalimwa kwa simu kuweka msimamizi?
* Alafu mnaanza kutishana kilimo kigumu. Ugumu ni uvivu wako au kilimo? Unategemea utengeneze mil 150 za ufuta alafu upo kwenye kochi unasema daah kilimo kigumu. Ushaenda sehemu husika au unasubiri ukusanyiwe data.
*Embu tuamke watanzania hakuna chochote zaidi ya uvivu sio mtaji wala nn? Mm nimeanza bila mtaji tatizo ni UVIVU.
*WAKE UP MYFELLOW TANZANIAN
 
Unajua kuna tofauti ya kusikia na kufanya. Ulilima heka ngp ukajua sio mchezo. Acha kutishia watu na kudanganya watu. Hii tabia naikemea kbsa na ni tabia ya wanadamu akiona hawezi kitu
1.atakukatisha tamaa ili muwe sawa.
2.atatafuta sababu ya kutokufanya badala ya kufanya
3. Alafu wengi wanapenda maneno ya kusikia, wengi wanapenda analysis za risk badala ya faida.
4. Wengi hawajiamini na waoga.
*Nani kawambia kilimo kinalimwa kwa mdomo?
*Nani kawambia kilimo kinalimwa kwa simu kuweka msimamizi?
* Alafu mnaanza kutishana kilimo kigumu. Ugumu ni uvivu wako au kilimo? Unategemea utengeneze mil 150 za ufuta alafu upo kwenye kochi unasema daah kilimo kigumu. Ushaenda sehemu husika au unasubiri ukusanyiwe data.
*Embu tuamke watanzania hakuna chochote zaidi ya uvivu sio mtaji wala nn? Mm nimeanza bila mtaji tatizo ni UVIVU.
*WAKE UP MYFELLOW TANZANIAN

ekari 200 za ufuta mkuu??? we ndo unadanganya umma. kilimo cha ufuta simaanishi kama ni kigumu ila kina maovyo ovyo mengi kama kilimo cha tumbaku. uoga unakujaje hapo??? acha kupanic
 
Mimi nimetoa ushaur wa mada hapo juu. Sasa sijui wewe unafanya nn kuusu mada iyo hapo juu. Toa maoni yako. Acha kupoteza mda kuleta argument zisizo na maana. Haikusaidii wewe wala humsaidii aliyeuliza swali. Anachoandika mtu hapa ndicho kinaelezea huwa yeye anawaza nn au ni mtu wa aina gani?
 
Ndugu tayari una experience na kilimo na tayari umetambua ni wapi ulikosea. Mimi nakushauri ubaki kwenye kilimo ila sasa "PERFECT" njia zako ili utoke vipoa zaidi.

Ningekushauri ulime kwa kutumia green house niliwahi kupewa somo na mzee mmoja ambaye ni maarufu sana kwa green house farming na inamlipa sana. Ningekushauri uwasiliane nae kwani atakupa ushauri mzuri zaidi kuliko mimi na yuko so friendly kama huko dar unaweza kwenda kwake kibamba hata jumamosi moja atakujuza mengi sana.

Anaitwa Benno Ndjovu 0754 710 019
Kwa kifupi huyu mzee aliacha kazi na kujikita kwenye kilimo cha nyanya hapa dar. He is a CPA holder.

All the best
 
Back
Top Bottom