Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
Yaani mwanaume kaamua kukutolea mahali unaleta shobo? Mkikaa hadi 40 bila kuolewa mnalalamika hamna bahati!! Kama anamtaka huyo wa kwenye Simu kwa nini ahangaike na wewe hadi kukutolea mahari!? Hebu mwite hapa tumchambe huyo shogako asiyejitambua.
Hahaha angekausha tu au cyo haha