Msaada wa ushauri: Je, asitishe kwanza upande wa mwanaume kumtolea mahari?

Msaada wa ushauri: Je, asitishe kwanza upande wa mwanaume kumtolea mahari?

Yaani mwanaume kaamua kukutolea mahali unaleta shobo? Mkikaa hadi 40 bila kuolewa mnalalamika hamna bahati!! Kama anamtaka huyo wa kwenye Simu kwa nini ahangaike na wewe hadi kukutolea mahari!? Hebu mwite hapa tumchambe huyo shogako asiyejitambua.

Hahaha angekausha tu au cyo haha
 
1. Mtajie idadi ya wanawake duniani hususani kwa sensa ya 2017 compared to idadi ya wanaume.

2. Ajiasses kwanza mapungufu yake ambayo yanamfanya huyo mwananume awe hivyo kabla hajafanya maamuzi ya kijinga.

3. Ajaribu kujishusha na kuomba msamaha kwa jamaa endapo kuna kitu alikosea na hakukijua.

4. Ana haki ya kusitisha hiyo process endapo tu ni mcha MUNGU, kama ni wale wa tia maji tia maji hajijui hata uhusiano wake na MUNGU ukoje basi mwambie akomae tu na jamaa mpaka kieleweke. Mtu anayemjua MUNGU kwa undani hawezi kuwa hadi hapo hajui afanyeje na wala hawezi kufika kwenye hiyo situation.
 
Yaani mwanaume kaamua kukutolea mahali unaleta shobo? Mkikaa hadi 40 bila kuolewa mnalalamika hamna bahati!! Kama anamtaka huyo wa kwenye Simu kwa nini ahangaike na wewe hadi kukutolea mahari!? Hebu mwite hapa tumchambe huyo shogako asiyejitambua.
 
kafata msimamo wa kiume huwa wanasema "mwanaume hakuna kukiri kosa wala kuomba msamaha" hata akidakwa live anagegeda aseme kuna kitu kadondosha ndani ya papuchi anakitafuta hakuna kukubali.
Hello men....nawasalimia
Hahaha
 
Back
Top Bottom