Yaani mwanaume kaamua kukutolea mahali unaleta shobo? Mkikaa hadi 40 bila kuolewa mnalalamika hamna bahati!! Kama anamtaka huyo wa kwenye Simu kwa nini ahangaike na wewe hadi kukutolea mahari!? Hebu mwite hapa tumchambe huyo shogako asiyejitambua.
Mwambie huyo dada, kama anadhani anaweza kuwa na mwanaume wa peke ake amuumbe yeye. Mwanaume mmoja ni baba tu....
Doh!! Mwatulia tu vya uvunguni kisa hatujawaumba sieMwambie huyo dada, kama anadhani anaweza kuwa na mwanaume wa peke ake amuumbe yeye. Mwanaume mmoja ni baba tu....
Teh vitaliwa tu maana hakuna namnaDoh!! Mwatulia tu vya uvunguni kisa hatujawaumba sie
nimekutamani for free....asanteeeeMwambie huyo dada, kama anadhani anaweza kuwa na mwanaume wa peke ake amuumbe yeye. Mwanaume mmoja ni baba tu....
1. Mtajie idadi ya wanawake duniani hususani kwa sensa ya 2017 compared to idadi ya wanaume.
2. Ajiasses kwanza mapungufu yake ambayo yanamfanya huyo mwananume awe hivyo kabla hajafanya maamuzi ya kijinga.
3. Ajaribu kujishusha na kuomba msamaha kwa jamaa endapo kuna kitu alikosea na hakukijua.
4. Ana haki ya kusitisha hiyo process endapo tu ni mcha MUNGU, kama ni wale wa tia maji tia maji hajijui hata uhusiano wake na MUNGU ukoje basi mwambie akomae tu na jamaa mpaka kieleweke. Mtu anayemjua MUNGU kwa undani hawezi kuwa hadi hapo hajui afanyeje na wala hawezi kufika kwenye hiyo situation.
maskin!
hii issue vepeee aliexplain?
Yaani mwanaume kaamua kukutolea mahali unaleta shobo? Mkikaa hadi 40 bila kuolewa mnalalamika hamna bahati!! Kama anamtaka huyo wa kwenye Simu kwa nini ahangaike na wewe hadi kukutolea mahari!? Hebu mwite hapa tumchambe huyo shogako asiyejitambua.
Lkn eve kwa uchumba mbona ni hali ya hatari? bora ingekua ndoa
Hahahakafata msimamo wa kiume huwa wanasema "mwanaume hakuna kukiri kosa wala kuomba msamaha" hata akidakwa live anagegeda aseme kuna kitu kadondosha ndani ya papuchi anakitafuta hakuna kukubali.
Hello men....nawasalimia
hii ni story ya bidadada na jamaa, wafamishe tu kwamba waendelee tuu na mipango yao