Msaada wa ushauri: Je, asitishe kwanza upande wa mwanaume kumtolea mahari?

Yaani mwanaume kaamua kukutolea mahali unaleta shobo? Mkikaa hadi 40 bila kuolewa mnalalamika hamna bahati!! Kama anamtaka huyo wa kwenye Simu kwa nini ahangaike na wewe hadi kukutolea mahari!? Hebu mwite hapa tumchambe huyo shogako asiyejitambua.

Hahaha angekausha tu au cyo haha
 
 
Yaani mwanaume kaamua kukutolea mahali unaleta shobo? Mkikaa hadi 40 bila kuolewa mnalalamika hamna bahati!! Kama anamtaka huyo wa kwenye Simu kwa nini ahangaike na wewe hadi kukutolea mahari!? Hebu mwite hapa tumchambe huyo shogako asiyejitambua.
 
kafata msimamo wa kiume huwa wanasema "mwanaume hakuna kukiri kosa wala kuomba msamaha" hata akidakwa live anagegeda aseme kuna kitu kadondosha ndani ya papuchi anakitafuta hakuna kukubali.
Hello men....nawasalimia
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…