Msaada wa ushauri kwa mjane unahitajika

Msaada wa ushauri kwa mjane unahitajika

Hope dies last. Kama mtu ataona haki yake inapotea na mali zinakwenda, hata nguruwe atakula. Watu wanauwa ndugu hata Wazazi wao, itakuwa hii? Hizo mahakama hata zikitambuliwa kisheria, zitakuwa kama mahakama za mwanzo tu. Mambo yakiwa magumu, zitapelekwa mahakama za juu.

Hapa kwanza nakuona wewe mwenyewe ukitafuta Lawyer kwenda Mahakama kuu kwa sababu ndugu za mumeo wamemuhonga huyo Kadhi sijui, na yeye anaamua mali zichukuliwe.

Mahakama ya kadhi ni short time solution. Dawa ni kuboresha mahakama zetu. Ila sasa inapotokea nchi inaongozwa kizembe na wewe unashinda hapa unatetea huo uozo ila baadaye unadai kesi zinachukua miaka10, hapo ndiyo huwa unaniacha hoi Ajuza wangu.

CCM OYEEEEEEEEEE!!:!::

NB: http://www.globalpublishers.info/profiles/blogs/kitimoto-charejea-kwa-kasi

Labda wa ukane Uislam wao. Lakini kitu kama hicho sahau.

Na hicho unachosema wewe ndiyo maana tunataka Mahakama ya Kadhi itambuliwe kikatiba ili kuzuwia mambo kama hayo ya kupelekana mahakama isiyo ya kadhi. Bila kuitambuwa mahakama ya kadhi kikatiba kesi zitaendelea kuchukuwa muda mrefu na kuitia gharama kubwa serikali kama ilivyo sasa.

Mahakama ya kadhi ni solution, kwani Waislam wataridhika kuwa kesi zao zinasikilizwa ki dini yao na pia ucheleweshaji utakuwa hakuna na hivyo kupelekea haki kupatikana kwa wakati na gharama ndogo kwa walipa kodi.

Kumbuka. Justice delayed is justice denied.
 
Hope dies last. Kama mtu ataona haki yake inapotea na mali zinakwenda, hata nguruwe atakula. Watu wanauwa ndugu hata Wazazi wao, itakuwa hii? Hizo mahakama hata zikitambuliwa kisheria, zitakuwa kama mahakama za mwanzo tu. Mambo yakiwa magumu, zitapelekwa mahakama za juu.

Hapa kwanza nakuona wewe mwenyewe ukitafuta Lawyer kwenda Mahakama kuu kwa sababu ndugu za mumeo wamemuhonga huyo Kadhi sijui, na yeye anaamua mali zichukuliwe.

Mahakama ya kadhi ni short time solution. Dawa ni kuboresha mahakama zetu. Ila sasa inapotokea nchi inaongozwa kizembe na wewe unashinda hapa unatetea huo uozo ila baadaye unadai kesi zinachukua miaka10, hapo ndiyo huwa unaniacha hoi Ajuza wangu.

CCM OYEEEEEEEEEE!!:!::

NB: KITIMOTO CHAREJEA KWA KASI! - Global Publishers

Tatizo lako ni elimu finyu.

Mahakama ya kadhi ndiyo solution pekee kwa hukumu za Waislaam, hivi sasa zinatumika fedha nyingi sana za serikali kuhusu hizo=hizo kesi za Waislaam.

Hii ruksa ya sasa ya kuwepo bila kutambulika na katiba hatuikubali na tutaendelea kudai haki yetu kwa amani hata iwe mpaka mwisho wa dunia, hatutakaa kimya na nnakwambia, hili la vyama vingi limetupa mwanya na fursa, tutaipata tu kupitia kura zetu, tena si muda mrefu kuanzia sasa, subiri ujionee.

Nchi nyingi duniani zimeliona hilo na zimeruhusu mahakama za kadhi, Jee, huyajuwi hayo?
 
Hata Mume na Muke, wana makubaliano yao ndani na wanaweza wakakubaliana na mtu asiingilie.

Mnataka kuanzisha mahakama, si anzisheni tu? Ila kumbuka haitakuwq solution. Tatizo lako wewe unawaza ki-Oldschool sana Ajuza wangu. Comedown to Earth Mama yangu, achana na maisha ya Venus sijui?

Unategemea Muislaam kama huyu aje kwenye mahakama zenu?

diamond.jpg


Tatizo lako ni elimu finyu.

Mahakama ya kadhi ndiyo solution pekee kwa hukumu za Waislaam, hivi sasa zinatumika fedha nyingi sana za serikali kuhusu hizo=hizo kesi za Waislaam.

Hii ruksa ya sasa ya kuwepo bila kutambulika na katiba hatuikubali na tutaendelea kudai haki yetu kwa amani hata iwe mpaka mwisho wa dunia, hatutakaa kimya na nnakwambia, hili la vyama vingi limetupa mwanya na fursa, tutaipata tu kupitia kura zetu, tena si muda mrefu kuanzia sasa, subiri ujionee.

Nchi nyingi duniani zimeliona hilo na zimeruhusu mahakama za kadhi, Jee, huyajuwi hayo?
 
Hata Mume na Muke, wana makubaliano yao ndani na wanaweza wakakubaliana na mtu asiingilie.

Mnataka kuanzisha mahakama, si anzisheni tu? Ila kumbuka haitakuwq solution. Tatizo lako wewe unawaza ki-Oldschool sana Ajuza wangu. Comedown to Earth Mama yangu, achana na maisha ya Venus sijui?

Unategemea Muislaam kama huyu aje kwenye mahakama zenu?

Hayo ni maisha tu, binaadam hujafa hujaumbika. Maisha yakikupiga kofi unafanya mambo ya kiajabu, pengine huyo imani yake kwa Mwenyeezi Mungu ni kubwa sana lakini hajapata ushauri tu.

Waislaam wengi waliousimisha Uislam hapo wakati wa Mtume Muhammad Salla Llahu Alayhi Wasalaam walitoka kwenye ukafiri na ujahilia mkubwa kuliko huo wa Diamond, kumbuka hilo.

Msome huyu: http://www.islamcan.com/convert-sto...ens-how-he-became-a-muslim.shtml#.VLzfOi4WYrM
 
Labda wa ukane Uislam wao. Lakini kitu kama hicho sahau.

Na hicho unachosema wewe ndiyo maana tunataka Mahakama ya Kadhi itambuliwe kikatiba ili kuzuwia mambo kama hayo ya kupelekana mahakama isiyo ya kadhi. Bila kuitambuwa mahakama ya kadhi kikatiba kesi zitaendelea kuchukuwa muda mrefu na kuitia gharama kubwa serikali kama ilivyo sasa.

Mahakama ya kadhi ni solution, kwani Waislam wataridhika kuwa kesi zao zinasikilizwa ki dini yao na pia ucheleweshaji utakuwa hakuna na hivyo kupelekea haki kupatikana kwa wakati na gharama ndogo kwa walipa kodi.

Kumbuka. Justice delayed is justice denied.

... and justice hurried is justice buried!
 
Kwasababu suala Hilo Ni dharula hapa na unasema kikao Ni Leo, ninkushauri wahi kaweke zuio la mahakama fastaaaa, Kisha fungus kesi ya msingi.

Lakini kwanza Ni zuio!

Waone wanasheria watakushauri vema,
 
There you are. Maisha yakikupiga, hata Mbuzi wa Kikatoliki utamla kama siyo kumfuga.

Kizazi kijacho, they don't give f#©£ what Parents or God say. They do care just them self.

Na hizi dola za Gas zikianza kumwagika na ufisadi mlioufanya CCM, watoto wenu watakuwa kama Wadhungu tu.

Masikini akipata, Dini na maadili tupilia mbali.

©©©
Hayo ni maisha tu, binaadam hujafa hujaumbika. Maisha yakikupiga kofi unafanya mambo ya kiajabu, pengine huyo imani yake kwa Mwenyeezi Mungu ni kubwa sana lakini hajapata ushauri tu.

Waislaam wengi waliousimisha Uislam hapo wakati wa Mtume Muhammad Salla Llahu Alayhi Wasalaam walitoka kwenye ukafiri na ujahilia mkubwa kuliko huo wa Diamond, kumbuka hilo.

Msome huyu: Yusuf Islam formerly Cat Stevens How he became a Muslim - IslamCan.com
 
There you are. Maisha yakikupiga, hata Mbuzi wa Kikatoliki utamla kama siyo kumfuga.

Kizazi kijacho, they don't give f#©£ what Parents or God say. They do care just them self.

Na hizi dola za Gas zikianza kumwagika na ufisadi mlioufanya CCM, watoto wenu watakuwa kama Wadhungu tu.

Masikini akipata, Dini na maadili tupilia mbali.

©©©

Huyo Mbuzi wa Kikatoliki ndiyo nani tena? Mimi najuwa kuna kondoo na mbwa wa kikristo.

Hiizo dola za Gas inabidi umpe sifa Kikwete kwa kuwahakikishia usalama wao wawekezaji mpaka kuweza kuwavuta hapa wawekezaji wakubwa kabisa duniani wa mambo hayo. Mfupa uliowashinda Nyerere, Mwinyi na Mkapa.
 
Acha kukashifu kilichoumbwa na Mungu wewe. Hata Nguruwe kaumbwa na Mungu......

Palipo na Gas au mafuta ni kama mzoga, watakusanyana huko na kuja wenyewe na wala huhitaji kuwaita. Ukijifanya mjanja basi wataku-Ghaddafi au kuku-Saddam.

Mmeishia kuleta kajeshi ka Wachina kuja kujenga bomba la Gas ati wao ni wachomeleaji baharini. Umeshawaona hao Wachina wenu wanavyochomelea sasa WanWake wa Mtwara? Ngoja mpate vi-Tiger Wood hadi mfikiri mmevamiwa.

Kila la kheri Wachina katika kuwachomelea Watanzania na Bomba lao la Gas.

Huyo Mbuzi wa Kikatoliki ndiyo nani tena? Mimi najuwa kuna kondoo na mbwa wa kikristo.

Hiizo dola za Gas inabidi umpe sifa Kikwete kwa kuwahakikishia usalama wao wawekezaji mpaka kuweza kuwavuta hapa wawekezaji wakubwa kabisa duniani wa mambo hayo. Mfupa uliowashinda Nyerere, Mwinyi na Mkapa.
 
Acha kukashifu kilichoumbwa na Mungu wewe. Hata Nguruwe kaumbwa na Mungu......

Palipo na Gas au mafuta ni kama mzoga, watakusanyana huko na kuja wenyewe na wala huhitaji kuwaita. Ukijifanya mjanja basi wataku-Ghaddafi au kuku-Saddam.

Mmeishia kuleta kajeshi ka Wachina kuja kujenga bomba la Gas ati wao ni wachomeleaji baharini. Umeshawaona hao Wachina wenu wanavyochomelea sasa WanWake wa Mtwara? Ngoja mpate vi-Tiger Wood hadi mfikiri mmevamiwa.

Kila la kheri Wachina katika kuwachomelea Watanzania na Bomba lao la Gas.

Nisome tena halafu uone ni nani aliyemtaja nguruwe? kama ni wewe au mimi.
 
Pure majibu ya NYERERE Type. Ingawa humpendi ila unamtumia sana.

Sasa hapo juu umeona hilo tu? Au ndiyo ile ya "Silence means agreement?"

Nisome tena halafu uone ni nani aliyemtaja nguruwe? kama ni wewe au mimi.
 
Pure majibu ya NYERERE Type. Ingawa humpendi ila unamtumia sana.

Sasa hapo juu umeona hilo tu? Au ndiyo ile ya "Silence means agreement?"

Kwanza umekuja na nguruwe sasa unakuja na Nyerere. Ipo kazi.
 
Bila kuingilia uhuru wa kuabudu.
Mali zote ni mali ya mwanamke mjane ambaye marehemu aliyekufa alikuwa naye.
Watoto hao wa mke wa kwanza walikuwa wapi siku zote baba yao akiwa hai? kama hawakutafuta vyao wamekula chenga zenye mawe!
wamuachie mali zake mama huyo! Kwa habari za mtoto aliyechizika wamlete kanisani aombewe ufahamu urudi maana pepo la kwao liko kazini kumumaliza!
 
Asante kwa taarifa mkuu. Binti huyo apelekwe akaombewe mbona atapona. Kuombewa haijalishi dini ya mtu. Hayo ,apepo yatalipuka na kuondoka. atafundishwa jinsi ya kuyazuia yasirudi tena. Unajua mambo hayo hospitali hayana dawa. Hospitalini atapewa dawa ambazo hazitamtibu.
Wakuu, nimetakiwa kumsimamia mama mjane juu ya haki zake. Mama huyu aliolewa mwaka 1997 huko Mpanda na mume aliyekuwa na watoto wanne wakubwa. Baada ya mwaka mmoja mume aliyekuwa mfanyakazi alipewa redundance.

Wakaamua kuhamia DSM. Alitangulia mwanamume akatafuta nyumba ya kupanga. Wakati huo walikuwa na mtoto mdogo ambaye alifariki baadaye. Mume alimfuata mke wakaja kuishi DSM ambapo walizaa mtoto mmoja aliye sekondari hata sasa.

Mume alipata kazi ya korokoroni aliyokuwa akiendelea nayo hadi mauti ilipomkuta.

Wakiwa DSM walifanikiwa kujenga nyumba huko mbagala ambapo walikuwa wakiishi hadi mauti yalipomfika mume. Kazi ya mwanamke ni mganga wa tiba za asili.

Shida ni kuwa watoto wale wa mama wa kwanza pamoja na shehe (mume alikuwa mwislamu) wanadai kuwa nyumba waliyoijenga ni mali ya watoto pamoja na vitu vingine vyote. Huyu mama wanasema akabidhiwe kwa ndugu zake wao wauze nyumba watoto wagawane pesa. Wanasema huyu mama akaolewe tena huko kwao ilhali kajijengea nyumba na mumewe ili waishi hati mpaka mauti yawafike.

1. Je, sheria ya kiislamu inasemaje juu ya hili? Huyu mama aliyetumia muda na nguvu zake kujijenga na mumewe ni sahihi afukuzwe hapo?

2. Sheria za nchi zikoje katika hili? Mwanamke keshanyang'wa hati za nyumba na watoto, ingawa anao ushahidi tosha kuwa hiyo nyumba kaijenga na mumewe.

3. Leo ndio kuna kikao cha ukoo cha maamuzi, nahitaji msaada wa haraka katika hili.

Belo Daudi Mchambuzi zumbemkuu
Yericko Nyerere Bujibuji Makoye Matale, Kaa la Moto, Sikonge Eiyer FaizaFoxy



Cc. Nguto, Buntungwa, GEBA2013, Power to the People, Majigo, rodrick alexander, Doppelganger, Makoye Matale, Yericko Nyerere, Daudi Mchambuzi, Sikonge, Eiyer, FaizaFoxy
 
Mie sina shida na mahakama ya kadhi. hata kidogo ila isiwe kwa kodi za wanachi wote. Ni Hapo tu. kama itagharimiwa na wenyewe basi haina shida. maan haitaajiri wa dini nyingine itaajiri wao tu. serikali ibaki na mahakama yake atayekata atumie asiyetaka asitumie poa tu. Au kuwe na system maalum ya kuwakata waislam pekee kodi maalum ya kuendesha mahakama.

Kwani kesi za Waislam zinazopelekwa mahakamani hivi sasa zinagharamiwa na nani?
 
sasa hio hati ya nyumba waliojenga Dar ina jina la mume au mke? kama ina jina la mke au majina yote mawili ya mke na mume yapo basi nyumba haingii kwenye mirathi kwahiyo sheria itatambua ni nyumba ya mke wa pili.

kama jina ni la mume peke yake, hapo ni majanga tayari. kwasababu lazima nyumba itaingia kwenye mirathi na familia yenyewe ni ya kislamu, kwa sheria za kiislamu itawatambua Hao watoto wa mke kwanza kwasababu ni warithi halali wa marehemu. Kosa kubwa hapo ni marehemu hakuacha wosia. hicho kikao sidhani kama italeta tija kwa huyo mama, hapo ni kupambana mahakamani tu.
zipo kesi 100 za mirathi kama hizi ambazo zipo mahakamani kwa miaka 10 na zaidi.
 
Kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa Ya mwaka 1971[cap 29 R.E.2010] kifungu cha 56,mjane huyo anahaki sawa kwenye nyumba hiyo kama ambavyo haki alionayo mme wake,bila ya kujali wanandoa walikuwa waislam au vinginevyo.Na kama walifunga ndoa(mjane na marehemu) ya kiislam vile vile mwanamke huyo anahaki katika nyumba hiyo na linapokja suala la mirathi ni lazima masharti ya mirathi kwa mujibu wa sheria ya uislam yafuatwe kabla ya kugawa mirathi,vile vile watoto wa marehem ambao wamezaa pamoja nae,wanahaki ya kurithi kwa utaratibu uliopangilwa na uislam(Islamic Law of Inheritence)
 
Ili kulinda nyumba hiyo isipotee wala kufanywa chochote kama kuuzwa au kupsngishwaaende akafungue PINGAMIZI(caveat)mahakamani
 
Back
Top Bottom