itagoma kulingana na kiwango cha pesa kilichoelekezwa kwenye namba hiyo,kwenye ada watu hupatiwa namba kulingana na pesa unayotakiwa kulipa sasa ukosee namba kisha upatie kiwango cha pesa kwani alilipa pesa kiasi gani
Sasa chifu kiwango cha pesa si kinakuwa kwenye round figures?! Hata physics ya Form II tulikuwa tunafundishwa jinsi error zinavyoweza kupatikana. Kwa mfano, 241247 unaweza kujikuta unaandika 242147 lakini ni nadra sana ukosee kuandika 500,000
Sasa chifu kiwango cha pesa si kinakuwa kwenye round figures?! Hata physics ya Form II tulikuwa tunafundishwa jinsi error zinavyoweza kupatikana. Kwa mfano, 241247 unaweza kujikuta unaandika 242147 lakini ni nadra sana ukosee kuandika 500,000
Sasa chifu kiwango cha pesa si kinakuwa kwenye round figures?! Hata physics ya Form II tulikuwa tunafundishwa jinsi error zinavyoweza kupatikana. Kwa mfano, 241247 unaweza kujikuta unaandika 242147 lakini ni nadra sana ukosee kuandika 500,000