Msaada wa ushauri: Nimekosea kulipia control ya malipo ya mwanafunzi wa Chuo cha CBE

Msaada wa ushauri: Nimekosea kulipia control ya malipo ya mwanafunzi wa Chuo cha CBE

mbona unapolipa kwa contro namba kabla ya kutuma pesa inakuja jina la unaemlipia ukiisha ona jina ukahikiki iko sawa ndio unatuma wewe ilikuwaje umetuma na jina lina kuonyesha sio mwanao halafu unakubali kusend
 
ogopa sana unapokwenda caunta kulipia au serikalini umkute mwanamke ni bora kama hakuna mwanaume ni bora urudi kesho yake kwa hasara utakayoipata kuhudumiwa na mwanamke
 
Sio kwenye taasisi za kifedha tu, ofisi yoyote kuweka mwanamke ni shida! Hawa viumbe ni wa hovyo sana! Uarabuni wako sahihi mno walipowanyima fursa nyingi... Wana kibri sana na dharau katika kila kitu!
ogopa sana unapokwenda caunta kulipia au serikalini umkute mwanamke ni bora kama hakuna mwanaume ni bora urudi kesho yake kwa hasara utakayoipata kuhudumiwa na mwanamke
 
Huyo kijana hajielewi we soma hata kichwa cha habari ucheke. Eti msomi wa chuo kikuu anaandika blunder ya namna hiyo 😅
mbona unapolipa kwa contro namba kabla ya kutuma pesa inakuja jina la unaemlipia ukiisha ona jina ukahikiki iko sawa ndio unatuma wewe ilikuwaje umetuma na jina lina kuonyesha sio mwanao halafu unakubali kusend
 
Inategemea na chuo husika but baadhi ya taasisi ukikosea namba wanarekebisha kiurahisi kabisa kwa muhasibu kukata jina na kuandika la muhusika kwenye risiti na kusaini.
Ungemueleza mwanafunzi aulize chuoni ili ujue utaratibu.
 
Acheni kulaumu watu mtu kashasema ni dada wa kazini, mi Kuna siku nilikua natoka dsm kwenda arusha na gari yangu private, nikapita mbezi pale kulipia gari yangu motor vehicle kipindi kile bado inalipiwa... Nikakuta dada wa kazi na bosi wake, nikafanya malipo ili nisisumbuliwe njiani, yule dada akawa analalamika anamwambia bosi wake "mama njoo ufanye mwenyewe mi sijazoea" yule bosi akawa anamjibu "lipia tu na wewe ntakufundisha mara ngapi"

Sikuwaza sana akalipia akanipa risiti sikuijagua vizuri nikasepa, nafika Arusha baada ya wiki natumiwa sms nimechelewa kulipia motor vehicle na faini nishapigwa , nikaona wasinitanie, nikachukua risiti nikaenda nayo ofisini, kufika kumbe yule dada alikosea namba Moja kwenye plate number akawa kalipia gari nyingine ambayo ilikua na cc sawa na gari yangu....

Yaani wabongo tupo nyuma sana,walishindwa kunisaidia chochote ilibidi nilipie motor vehicle fees upya tena baada ya kusumbuana nao kama wiki mbili, upuuzi kweli

So haya mambo usichukulie poa yanaweza kukutia hasara hivi hivi unaona
Itaendelea kwenye uzi wa masihara jinsi nklivyo.... dada aliyejosea plate namba
 
Inategemea na chuo husika but baadhi ya taasisi ukikosea namba wanarekebisha kiurahisi kabisa kwa muhasibu kukata jina na kuandika la muhusika kwenye risiti na kusaini.
Ungemueleza mwanafunzi aulize chuoni ili ujue utaratibu.
Sio UDSM
 
Huyo kijana hajielewi we soma hata kichwa cha habari ucheke. Eti msomi wa chuo kikuu anaandika blunder ya namna hiyo 😅
Mkuu kwani kumkosoa mtu anaeomba ushauri mpaka utumie lugha kali????? Na pia unajua watoto wetu wanaingia vyuo wakiwa na miaka mingapi?????? Pia alieleta uzi huu ni wakala sio mwanafunzi..!!!Hoja au swali linajibiwa kiungwana na sio kwa lugha kali au za kejeli,ndio watu wazima tunavyofanya.
 
Wala haikatai, ila italeta details tofauti.
Sasa wengine hawana utaratibu wa kuhakiki b4 kukamilisha malipo.
Kuna siku mie nalipa withholding Tax, nimetaja control namba kwa wakala. Sasa ile tarakimu ya mwisho mie nimetaja 6, wakala kaweka 9.
Ikaja na details tofauti na zangu, sasa hapo kwa mtu asiye hakiki ndio unakuta analipia mtu mwingine
System ya Control number iko so randomly, ukikosea inakataa kwa maana lazima ikupe na jina la anayelipa hiyo huduma. Imekuwaje huyo amekosea? Sema amekosea registration number ya Mwanafunzi naweza kukuelewa.
 
Hyo rahis sana mcheki ulimwekea akusaidie kufanya transfer kwenda kwenye account ya mlengwa au nenda kwa mhasibu pale department ya finance chini ya new building atakupa muongozo!

Fanya kuwahi maana mitihani yao imekaribia
 
System ya Control number iko so randomly, ukikosea inakataa kwa maana lazima ikupe na jina la anayelipa hiyo huduma. Imekuwaje huyo amekosea? Sema amekosea registration number ya Mwanafunzi naweza kukuelewa.
mwenyewe nimejiuliza hiki kitu kweli kuna watu si makini hata kidogo
 
Back
Top Bottom